Recent content by Skills

  1. S

    Chuo kikuu Arusha na Tumaini Makumila

    Makumira iko poa sana nakukaribisha ukifika tu nitafute nitakuwa mwenyeji wako nenda fb by Razak Masoud
  2. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    Kutokujua ni kubaya tatizo la siasa uchwara ndio linawafikisha hapa wengi wenu..Angepewa Slaa au Mbowe nadhan msingeongea pumba humu ndan GUYS badilikeni kuna kajamaa kanajifanya kujiamini sana kwamba oooh ingekuwa ya professor wake angedrop shahada aaah...msitufanye wote humu ni CHDM wengine...
  3. S

    Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

    Naipongeza chadema but bado kaz kubwa wanayo kwan Tanzania si Arusha tuu..
  4. S

    Mbowe Aombe Radhi Kukubali Mwaliko wa Dhifa ya Obama; Inadhoofisha Harakati za Kuiondoa CCM

    Chadema mmechemkaa hata hilo nalo la kulumbanaa
  5. S

    Kutoka Uwanja wa Zakyem, Mbagala, Shehe apasua jipu la udini mkutano wa CHADEMA

    Mleta mada nennda katafute maana ya shekh ndo urudi humu na siku zote kumbuka MAJI na MAFUTA havichanganyiki so usilazimishee
  6. S

    Annuur: Serikali imefuta mitihani ya Dini !!!!!!!!!!!

    kama serikali haina dini maana yake ni kufuta mitihan ya dini? nadhan hapo imepotoka kwa kias kikubwa japo bado sina hakika na hiko chanzo cha habar na habar yenyewe
  7. S

    CHADEMA yagaragazwa vibaya Iramba,CCM yachukua vijiji vyote

    HIvi hujiulizi Tanzania ya leo haiamuliwi na wasomi tu hata wananchi wa kawaida wana upeo mkubwa tu wa kutambua mbivu na mbichiii
  8. S

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    kusahau CCM ni sawa na kusahau wazaz wako so haiwezekan usitudanganye endeleen tu kujipa moyo tutafika
  9. S

    Gazeti la Tanzania Daima hatarini kufungiwa...!

    Angalien na muache kuleta UCHDM na userikal ndugu zangu ushabiki huu utatufikisha pabaya kama imefikia hatua tunatetea ujinga eti sababu umefanywa na CHDM....walichofanya ni mwendelezo wa propaganda chafu dhid ya serikal na wanapaswa kuchukuliwa hatua kwan walishapewa onyo kama wenzao HALISI...
  10. S

    Vinara wa kueneza Udini Tanzania

    Namba moja ni Maaskofu inafuatia CHDM na viongoz wake
  11. S

    mchango wa PJ, Gerald Hando na clouds kwa ujumla kurudisha bunge kuendelea kurushwa live...

    wewe ni mpuuzi na upuuzi wako wewe ni UCHADEMA wako ndo unakusumbua kaa kimya ww acha kelele kama vp anzisha redio yako itakayokuwa na ethics nani kakulazimisha kusikiliza CLOUDS kwan hakuna redio zingine ninyi ndo mnaopotosha umma huo ni mtazamo wao nawe una mtazamo wakooo
  12. S

    Maaskofu kuipelekeka serikali mahakamani kuhusu kuchinja nyama

    ni wapi iman ya kikristo imefundisha namna ya kuchinja naomba mwenye kujua anijuze...
  13. S

    Radio Imaani yaishambulia tena JamiiForums, wadai Idd Amin alikuwa 'Mtu makini'...

    Nami napata wasiwasi na hii JF coz mwendelezo wake umekuwa ni uleule wa anti-facts na anayezungumza ukweli hushambuliwa na watu wenye mrengo wa kushoto nadhan ni mbinu zenu tumeshawajuaaa....
  14. S

    Sijamwamini SLAA..

    ----- ww hata ukiambiwa utembee uchi utatembea kwa kuwa umeambiwa na mwizi na tapeli SLAA mnaejifanya kumwamini kumbe ana yake endeleen hivyohivyo na akili zenu za dagaa
  15. S

    Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

    Uhuru mlopewa watanzania mnautumia vibaya na iko siku mtaukumbuka tu hiv ukiulizwa utoe fact za tuhuma unazotoa kwa Rais wako na nchi kwa ujumla unazo? hizo ndio siasa za majitaka
Back
Top Bottom