Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,372
Kwangu mie nyeupe ni nyeupe, nyeusi ni nyeusi. Nitasema ukweli hakuna mtu wa kumwogopa!
Najua chloroquine chungu lakini INATIBU leo nitatoa orodha ya baadhi ya watu na RADIO mbalimbali ambazo zinaongoza kwa kueneza udini Tanzania sijajua kama wanajitambua au wanafanya makusuudi.
Asilimia kubwa ya watu wanapatikana Chama cha mapinduzi yani CCM nadhani ndo dhana ile inaendelea ya watu wenye makosa kujificha CCM nina maana Mauzaji wa pembe za ndovu, Mafisadi wote wapo CCM, Wauza unga aka dawa za kulevya wote CCM.
Watu binafsi.
1. Shekhe ponda(Yupo jela now)
2. Nape Nnauye (CCM)
3. Shekh Isango (Radio Iman)
4. Juliana Shonza(CCM)
5. Mtela Mwampamba(CCM)
6. Shekhe Ilunga (MWANZA)
5. Mwigulu Nnchemba
RADIO zinazoongoza kusambaza udini tanzania ni Kama zifuatazo:
1. Radio Iman
2. Clouds Fm (Hawa wanaongoza kwa kutoa air Time kwa watu wanaoeneza udini Tanzania)
3. Radio Uhuru (CCM inahusika moja kwa moja na hii radio kwa kutoa air time kwa hawa watu wanaoeneza udini Tanzania)
Kama kuna mtu anazani kuna mtu anatakiwa kuongezwa au Radio inayotakiwa kuingizwa kwenye hii list ya waeneza udini Tanzania unaruhusiwa kuongeza. Nimeamua kuwataja ili watanzania kwa umoja wetu tuwakemee hawa watu na Taasisi zinazoeneza udini Tanzania kwa nguvu zote bila kuchoka.
Hatuwezi kuwaacha watu wakawa wanendelea kueneza udini nasi tunawachekelea kama serikali imeshindwa kuwadhibiti basi ni zamu yatu watanzania tusiopenda udini kuwakemea hawa watu kwa nguvu zetu zote.
Tumechoka kuona Makanisa yakichomwa moto, Mapadre wakiuwawa, Mashekhe wakimwagiwa tindikali etc kwa sababu ya hawa watu tusimame Tuwakemee
Mbona fastjet hujamweka? Ama hujamwona?