Vinara wa kueneza Udini Tanzania

Vinara wa kueneza Udini Tanzania

Status
Not open for further replies.
Kwangu mie nyeupe ni nyeupe, nyeusi ni nyeusi. Nitasema ukweli hakuna mtu wa kumwogopa!

N
ajua chloroquine chungu lakini INATIBU leo nitatoa orodha ya baadhi ya watu na RADIO mbalimbali ambazo zinaongoza kwa kueneza udini Tanzania sijajua kama wanajitambua au wanafanya makusuudi.

Asilimia kubwa ya watu wanapatikana Chama cha mapinduzi yani CCM nadhani ndo dhana ile inaendelea ya watu wenye makosa kujificha CCM nina maana Mauzaji wa pembe za ndovu, Mafisadi wote wapo CCM, Wauza unga aka dawa za kulevya wote CCM.

Watu binafsi.
1. Shekhe ponda(Yupo jela now)
2. Nape Nnauye (CCM)
3. Shekh Isango (Radio Iman)

4. Juliana Shonza(CCM)
5. Mtela Mwampamba(CCM)
6. Shekhe Ilunga (MWANZA)
5. Mwigulu Nnchemba

RADIO zinazoongoza kusambaza udini tanzania ni Kama zifuatazo:
1. Radio Iman
2. Clouds Fm (Hawa wanaongoza kwa kutoa air Time kwa watu wanaoeneza udini Tanzania)
3. Radio Uhuru (CCM inahusika moja kwa moja na hii radio kwa kutoa air time kwa hawa watu wanaoeneza udini Tanzania)

Kama kuna mtu anazani kuna mtu anatakiwa kuongezwa au Radio inayotakiwa kuingizwa kwenye hii list ya waeneza udini Tanzania unaruhusiwa kuongeza. Nimeamua kuwataja ili watanzania kwa umoja wetu tuwakemee hawa watu na Taasisi zinazoeneza udini Tanzania kwa nguvu zote bila kuchoka.

Hatuwezi kuwaacha watu wakawa wanendelea kueneza udini nasi tunawachekelea kama serikali imeshindwa kuwadhibiti basi ni zamu yatu watanzania tusiopenda udini kuwakemea hawa watu kwa nguvu zetu zote.

Tumechoka kuona Makanisa yakichomwa moto, Mapadre wakiuwawa, Mashekhe wakimwagiwa tindikali etc kwa sababu ya hawa watu tusimame Tuwakemee


Mbona fastjet hujamweka? Ama hujamwona?
 
Mshauri mkuu wa hawa wote ni Al haj ali hassan mwinyi
 
hand-amputation.jpg


Kwamba kwa mtindo huu watu wanaitafuta mbingu... ni uongo na ni ushetani!!!!
 
Hii thread ikifikisha posts 100 nitawaambia kitu very interesting nilichoobserve...
 
Hii thread ikifikisha posts 100 nitawaambia kitu very interesting nilichoobserve...
Mi nasema sasa nilichoobzevu.... Ni hivi, anayetaja mtu kuwa ni mdini, ukichunguza anayetaja ana dini tofauti na anayetajwa. NAOMBA TUBADILI UELEKEO KUANZIA MIDA HII, KILA MTU ANAYECHANGIA AMTAJE MDINI ALIYE KWENYE DINI MOJA NA YEYE. Yaani mkristu amtaje mdini ambaye ni mkristu na muislamu naye amtaje mdini ambaye ni muislam

Cc:
Ally Kombo
Zomba
lara 1
Mzee Mwanakijiji
Mahamoud
Ziong daughter

Bcc: Nape
Jk
JF members
 
Mbona fastjet hujamweka? Ama hujamwona?


Mchungaji Mpemba na Radio yake Kwa neema Fm
Mchungaji Simba Ulanga
Kadinali Pengo na Waraka wake wa Kichochezi
Padri Wilbod Slaaa kwa kunyamaza kwake kuwaambia Wakristo ukweli kuwa hawana Maandiko yahusuyo Kuchinja
IPP media kwa Ujumla
Mizengo Pinda
Jamii Forum
 
Vasco da Gama ni # 1 kwa hili. Hakwepi na kikombe hiki kitamfuata popote aendapo.
 
CC: mtugani wa wapi huyo.

Mnajaribu kukwepa ukweli! lakini kweli itawaweka HURU.
 
CC: mtugani wa wapi huyo.

Mnajaribu kukwepa ukweli! lakini kweli itawaweka HURU.

Ukweli Upi Kaka Tunao Ukwepa?
Kwani Kibwetere hakuuwa watu? Je aliitwa Gaidi???
Mauwaji ya Rwanda je Kuna Shee yoyote alieshtakiwa Mahakama ya Kimataifa? Je walioshtakiwa waliitwa Magaidi??
Je Magaidi wakoje?????


Mbona Majibu yanakuwa Magum kutoka????

Hebu nijibu kwanza haya kama kweli ww ni Mkweli
 
Kwangu mie nyeupe ni nyeupe, nyeusi ni nyeusi. Nitasema ukweli hakuna mtu wa kumwogopa!

Najua chloroquine chungu lakini INATIBU leo nitatoa orodha ya baadhi ya watu na RADIO mbalimbali ambazo zinaongoza kwa kueneza udini Tanzania sijajua kama wanajitambua au wanafanya makusuudi.

Asilimia kubwa ya watu wanapatikana Chama cha mapinduzi yani CCM nadhani ndo dhana ile inaendelea ya watu wenye makosa kujificha CCM nina maana Mauzaji wa pembe za ndovu, Mafisadi wote wapo CCM, Wauza unga aka dawa za kulevya wote CCM.

Watu binafsi.
1. Shekhe ponda(Yupo jela now)
2. Nape Nnauye (CCM)
3. Shekh Isango (Radio Iman)
4. Juliana Shonza(CCM)
5. Mtela Mwampamba(CCM)
6. Shekhe Ilunga (MWANZA)
5. Mwigulu Nnchemba

RADIO zinazoongoza kusambaza udini tanzania ni Kama zifuatazo:
1. Radio Iman
2. Clouds Fm (Hawa wanaongoza kwa kutoa air Time kwa watu wanaoeneza udini Tanzania)
3. Radio Uhuru (CCM inahusika moja kwa moja na hii radio kwa kutoa air time kwa hawa watu wanaoeneza udini Tanzania)

Kama kuna mtu anazani kuna mtu anatakiwa kuongezwa au Radio inayotakiwa kuingizwa kwenye hii list ya waeneza udini Tanzania unaruhusiwa kuongeza. Nimeamua kuwataja ili watanzania kwa umoja wetu tuwakemee hawa watu na Taasisi zinazoeneza udini Tanzania kwa nguvu zote bila kuchoka.

Hatuwezi kuwaacha watu wakawa wanendelea kueneza udini nasi tunawachekelea kama serikali imeshindwa kuwadhibiti basi ni zamu yatu watanzania tusiopenda udini kuwakemea hawa watu kwa nguvu zetu zote.

Tumechoka kuona Makanisa yakichomwa moto, Mapadre wakiuwawa, Mashekhe wakimwagiwa tindikali etc kwa sababu ya hawa watu tusimame Tuwakemee

Dah umemuonea Sheikh Ilunga aisee....ilibidi awe kwenye Top 3 kwenye hiyo List! Namba 6 ulipomuweka ni mbali sana ukilinganisha na kipaji chake maalum kwenye masuala ya kukaanga sumu za kidini!, kungekuwa na Nobel Prize ya hii category ya Udini Ilunga angepewa maana hana mpinzani Africa Mashariki na Kati!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom