Kama hii ni story ya kweli mzee I feel you,
mapenzi ni kitu cha ajabu sana tena sana na nikuhakikishie hutakaa upende kama ulivyompenda Mercy wako EVER!
Mapenzi ni ujinga,mapenzi ni upuuzi,mapenzi ni upumbavu,
Ila
Mapenzi ni faraja,mapenzi ni amani,mapenzi ni kuwa na furaha
Yanii mapenzi ni indescribable
Mwamba umepitia yote big up sana imekukomaza na hutafanya maamuzi ya kijinga tena "kama wale wa redioni"kwako maana wanaopitia upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.