KIWANDA CHANGU NANUNUA UMEME WA KATI YA TSH 200,000 HADI 300,000 KWA SIKU,JUMAINNE RADI IMEPIGA NA KUHARIBU MITA,CHA AJABU MAFUNDI WA TANESCO ILI KUNIWAHISHIA KUREKEBISHA HILO TATIZO KWA WAKATI WANANITAKA MPAKA NIWAPE POSHO,NA BAADA YA KUWALALAMIKIA NA KUWAAMBIA TATIZO LA KUTENHENEZA NA...
Nimepata wateja wa kununua unga wa mahindi nje ya Nchi,naomba kwa wale wanaofanya biashara hiyo,wanijuze utaratibu,hasa vibali ninavyotakiwa kuwa navyo,upatikanaji wake,wapi vinapatikana, wakati wa kusafirisha mzigo wa unga wa mahindi. Pia ningependa kuchua kama kuna ushuru nitatakiwa kulipa...
Utakuwa unafanya window shopping wewe,if ur serious ,tuwasiliane,nitakuuzia ekari kama hamsini ambazo zinafaa kwa kilimo cha nanasi,ufuta,mahindi,muhongo na kunde.
Ni vema ungefanya selection mwenyewe au kutuwekea vigezo kabisa kwenye uzi huu ili kwa sisi tulioko mkoani tujue mapema kama tunavyo vigezo kabla ya kuanza safari
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.