Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta
Vigezo
Awe mkazi wa Arusha Mjini.
Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
Awe anajua vizuri spea za kompyuta na desktop na jinsi ya kubadilisha.
Awe anajua kutoa kauli nzuri kwa wateja( high capable in customer care).
Awe anajua...
Nafasi ya kazi kuuza duka la vifaa vya TEHAMA:
Kituo cha kazi: Arusha mjini
Mwisho wa kupokea maombi: 14 May 2021
Taarifa kuhusu kazi:
Anahitajika mfanyakazi wa kuuza duka la vifaa vya TEHAMA (Computer networking accessories).
Kazi za kufanya:
• Kuuza vifaa vya data kwa wateja watakaofika...
Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta ambapo vile vile dukani hapo inatolewa huduma za kiufundi.
Vigezo
Awe mkazi wa Arusha Mjini.
Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
Awe anajua vizuri spea za laptop na desktop na jinsi ya kubadilisha.
Awe anajua kutoa kauli nzuri...
Ndugu wadau, mimi ni mtumishi wa serikali kada ya auxiliary police nataka kufanya biashara ya udobi kwa kutumia mashine kama kuna mwenye kujua changamoto zake na faida zake msaada pls.
kuna mgambo wa jiji na askari polisi wa jiji hao wanaofanana na uhamiaji ni askari polisi wa jiji wapo majiji yote tanzania mtoa habari hujui kina cha habari umekurupuka
Habari mimi ni mtafuta kazi naomba kuuliza hawa auxiliary police wanajiunga vipi na depo wanapigia wapi na malipo yao nataka nijiunge elimu yangu ni diploma umri ni miaka 24
jamani watu tumesoma kwa shida inafikia mtu unatembea toka ubungo mpaka posta kutafuta degree sababu ya ugumu wa maisha unapata ajira serikali inasitisha ajira kupisha uhakiki mpaka leo mambo hayaeleweki watoto wa masikini mnatuua jamani kila jitihada zinashindikana tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.