Ukitoa kwa mkupuo itakuumiza sana,cha msingi to a kidogo kidogo kila mwenz!!afu siku ya harus niite tuirudishe hela yetu!!tuchape ugimbi na tule vyuku tufidie hela yako mkuu!!na kwaito tutacheza sanaaaa.
Mi mwanangu namkumbuka nimekusanya nguo naenda kufua!!afu wazee na masista na madogo wametulia sebuleni!!bhas mwanangu napita pakiti ya ndom ikaanguka!!ikalia paa wote wakakodoa macho!!nikauliza haaa nan kaniwekea afu nmewakazia macho wadogo zangu!!jibu likatoka kwa bi mkubwa,mshenzi ww kwan...
Ni zoez lakin wajejitahid sana!!sasa waeke na zoez la majambaz wakivamia na kuondoka na pikpik km boxer tuone wanatumia njia gan??mana siku hiz hawatumii magar tena!!Ila nawapongeza madereva wa magar yote mawili has wa defender mana na ile nyomi afu kwenye kona shaaaaa!!wametisha!
Ni jinsi gani??ni namna gani tutaishi duniani paka siku tunasema buriani,jamaa anaimba kwa lafudhi ya kichaga Hiv,MASAWE alikuepo,kimaro alikuepo,mushi alikuepo kawataja wengi sanaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.