CLUB: Nilivyoepuka aibu na tafrani

CLUB: Nilivyoepuka aibu na tafrani

Yaan ktk wiki uloachana nae we umetia mmoja mwenzako katiwa na watu zaidi ya 50 so Lishakuwa bwawa hiloooo
 
mambo ya club za usiku ni balaa aisee, kuna siku moja nilienda club moja ipo mbezi mwisho inaitwa Gody aisee kuna wahudumu pale sijui jamaa anawatowaga wapi wazuri haswa afu wamevaa vinguo hivyo utafikiri wanakukaribisha twende wote chumbani paja ziko nje nje ka mafenesi aisee nikajisemea moyoni hapa mm hapanifai watu wanajichagulia mademu watakavyo.. kweli dunia hii tuwe makni sana unaweza kula hela ya ada ya shule ya mwanao unahonga mademu wa club afu kesho unastika huna pesa zakulipa ada... acheni aiseee tutulizane home na wake zetu jamani.
 
mambo ya club za usiku ni balaa aisee, kuna siku moja nilienda club moja ipo mbezi mwisho inaitwa Gody aisee kuna wahudumu pale sijui jamaa anawatowaga wapi wazuri haswa afu wamevaa vinguo hivyo utafikiri wanakukaribisha twende wote chumbani paja ziko nje nje ka mafenesi aisee nikajisemea moyoni hapa mm hapanifai watu wanajichagulia mademu watakavyo.. kweli dunia hii tuwe makni sana unaweza kula hela ya ada ya shule ya mwanao unahonga mademu wa club afu kesho unastika huna pesa zakulipa ada... acheni aiseee tutulizane home na wake zetu jamani.
club hutakiwi.kuwa na huruma na pesa! wahudumu wenyewe vinywaji vya kupima unachakachuliwa vibaya mnoo!
 
Hiyo haikuwa aibu maana na yeye pia alitoka na boy mwingine ili kukukomesha, cha ajabu akakuona na wewe umefanya kulipiza na kumbidi awe mpole kwa kudanganya family friend ili muende sawa.
 
sijadharau kazi wala kipato! nimekueleza ukweli halisi! kama week end moja nilikuwa natumia laki tatu zinaisha na mshahara wa mwalimu hauzidi laki tano,ataishi vipi? hujui kuwa walimu Tanzania wanalipwa mishahara kidogo?! najua ninachokisema.fixed income earner maisha ya starehe kama hizo vigumu.kuzimudu labda uishi nje ya kipato.
Jamaa una misifa had unaboa!!kwahyo unamin walimh wrote umewazid kipato???kiaz kwel ww
 
Jamaa una misifa had unaboa!!kwahyo unamin walimh wrote umewazid kipato???kiaz kwel ww
soma nilichoandika na unachokisema kama vinalingana! mimi nimeongelea facts kama ww ni mwl unaweza kumudu maisha ya anasa je ww unawakilisha waalimu wote? hata mimi siwezi kujilinganisha na wanaoenda casino kucheza kamari,ile ni level nyingine ya juu yangu! kuna madaraja katika jamii
hayakwepeki ndo maana kunaVIP na mtu wa kawaida.
 
Hiyo haikuwa aibu maana na yeye pia alitoka na boy mwingine ili kukukomesha, cha ajabu akakuona na wewe umefanya kulipiza na kumbidi awe mpole kwa kudanganya family friend ili muende sawa.
kungetokea akaanzisha vurugu pale ingekuwa aibu kwakuwa msichana aliyenipa company hakujua na kutarajia hali ibadilike.hata kwenda club ukakaa saa moja na kusepa inaleta maswali.
 
kungetokea akaanzisha vurugu pale ingekuwa aibu kwakuwa msichana aliyenipa company hakujua na kutarajia hali ibadilike.hata kwenda club ukakaa saa moja na kusepa inaleta maswali.
Mungu alikuepushia na mabalaa.
 
Sasa huyo dada ulipotoka ulienda naye wapi?
Na mwanaume aliyekuwa na girlfriend wako naye alimwacha salama kweli?
Kuna mtu kaliwa hapo.......
 
Sasa huyo dada ulipotoka ulienda naye wapi?
Na mwanaume aliyekuwa na girlfriend wako naye alimwacha salama kweli?
Kuna mtu kaliwa hapo.......
JF never cease to amuse me! mnapenda next episode!
 
Hapa tupo pamoja sana....Mi sintosahau siku moja tumeenda Club tupo watatu tukiwa kwenye dance floor tunacheza nikamkanyaga jamaa mmoja bahati mbaya yupo na demu wake na machalii wengine...Tukazinguana pale mabaunsa wakaja tukaachanishwa jamaa akaniambia kama vp twende nje tukafundishane adabu nikamwambia twende boya tu wewe...Duh jamaa kumbe ni bondia bwana tukapiga mkono hapo nje hakuna mtu anaamua...watu wametuzunguka wameeka round, kama dk 10 za kwanza jamaa nikaona nammudu kabisa baada ya dk 10 ile nimeanza kuchoka jamaa akafungulia ngumi alizipiga hadi nikasema hapa ntakufa..nampa 1 ananipa 3 safi..Nikaona isiwe tabu nikamwambia asee jomba wacha ujinga utakuja niua nanii.. watu wakanicheka mno jamaa wakaja wakaamua sababu jamaa ni bondia akanifuata akaniambia hata ivyo umejitahidi twende zetu ndani...Sikuweza rudi Club tena nimeiva mwili mzima.. Toka siku hiyo nilipunguza sana ugomvi ugomvi.
..... dakika 10 za kwanza. ..... umezidisha chumvi
 
JF never cease to amuse me! mnapenda next episode!

Well, if you are amused by the question that means you are hiding a very important part of the story.
I am not asking for the next episode but the part between the night where you met your girlfriend with another man and the next day where you had a muyual reconciliation. Trust me, the rest of your story is just just a chain but the link is on that night. Face the fact, she had an affair with her " family friend" .
Anyway, your generation doesnt hold the purity of sex and chastity, so its okay for a woman or man to sleep around and pretends like nothing has happened.
God have mercy!
 
Well, if you are amused by the question that means you are hiding a very important part of the story.
I am not asking for the next episode but the part between the night where you met your girlfriend with another man and the next day where you had a muyual reconciliation. Trust me, the rest of your story is just just a chain but the link is on that night. Face the fact, she had an affair with her " family friend" .
Anyway, your generation doesnt hold the purity of sex and chastity, so its okay for a woman or man to sleep around and pretends like nothing has happened.
God have mercy!
the important part was the club scene,the rest the readers can fill in the gaps.
 
Back
Top Bottom