Sasa mbona hutuambii wakiristo ni idadi gani uislamu unakupa shida sana tunao wenyewe sijui iyo sensa mbona sikufikiwa nafamilia yangu?
Tabora kugoma wapo wakiristo peke yao pwani moro huzijui
Nimekuelewa inamaana dogo alitaka kumuoa mtu anaemzidi umri kama ilivyokuwa kwa bi hadja wakiwa wanazungumza kama utani hapo hujasema alisema nini kuhusu mtume?
Ila ni kwamba inaonekana waliacha mazungumzo yao wakawa wameingia kwenye maisha ya kiongozi huyu mtufu
Hiyo ndio ilikuwa shida huwa...
Dawa akisha jibu amfungulie mashtaka haraka sana ili ushahidi wa polepole ajenao mahakamani huku tupumzike na mbwembwe za chakubanga naimani hapo tutajuwa nanianamtuma huyu msaulifu .
Ushahidi gani unataka wewe kunguni mgense
Lisu hakupigwa risasi?asad hakugundua trn 1.5 ? saa 8 yupo?
Alafu unaleta ujinga wa polepole eti afikiriwe wakati yanatokea haya yeye anasifia v8 watu wanapotea , kupigwa ,pesa kibao zinapotea yeye anazuzuka na v8 wapumbavu nyinyi nyote mnaemunga mkono...
We mgengese sana zingatia unapo msema mtu hakikisha unakuwa msafi kwanza
Hata yesu alisema ambae anajiamini yeye msafi awe wakwanza kumpiga mawe mzinifu ndicho nilicho maanisha
Sasa una kuja we nguruwe au kunguni unaninukia hapa naharufu yako mbaya mbwa wewe malaya mmoja
Mimi naona polepole dish limeyumba hivi amewahi kuzungumzia trn 1.5 au nani alimpiga lisu risasi?je Kwenda kumuona wakati akiwa mgonjwa .
Wapi saa 8 huyu anaweza kuwa mwema kweli?
Tunatambua nani anamtuma na amebeba ujumbe wanani
Serekali nadhani wamekwisha jua wazi ndio maana hajibiwi
Ni...
Kapime madonda tumbo hiyo nimoja yadalili zake pia acha kula. Vyakula kukobolewa punguza chumvi kunywa maji vuguvugu na toboa mayai mabichi meza ujiuji wake nakushauri kama nikama nivyofikiria huenda ukipima pressure ikawa ipo usikubali kutumia dawa zake kunywa maji mengi tu
Leteni taarifa kamili sio kuzania
Ukiishi hivyo maisha yatakusumbua sana
Kwa maana mtu anaweka hisia halafu inageuka habari kamili bila hata uchunguzi
Wakati huohuo amehisi tu lakini roho inamuuma na chuki juu kwakihabari amekihisi tu
Hiyo nidalili yakushindwa maisha badilika muda bado upo.
Hajachoka tu hamdanganyi mtu atungoje baada ya uchaguzi atapata kesi yake atanyooka tu muongo mkubwa kipindi yeye yupo kiongozi wachama asad aligundua trn 1.5 zimepigwa hakujiuzuru leo anatuona wajinga na maumbea yake aseme kwanza trn 1.5zilikwenda wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.