Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,247
- 12,765
Na hicho Tu Polepole alikuwa anataka....zile siri za kiapo zitamwagwa nje mchana kweupe kwa kisingizio cha kumjibu Rostam..Anaenda kuharibu, anaenda kumpa Pole Pole afunguke zaidi maana atatoa code ambazo Pole atapita nazo,
Anaenda kufanya watu wazidi kutaka kusikia Pole Pole ata counterattack vipi na kuzidi kutoa ya ndani zaidi
Angekaa kimya ilikuwa busara zaidi
Kwa jinsi Pole Pole alivyokandia mitungi ya TAIFA GAS ,nilijua tu huyu tapeli lazima ajitokeze
Rostam shtuka umetegwa, eti CIA agent, agent gani huwezi kuthibiti hasira na mihemko?