Natumia vitz 2007 new mdl cc 1290, yangu mafuta fresh angaliwa fuel pump, zile piston vzr zinaweza changia alafu kagua masega
Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums mobile app
Ishu ni moja tu kwa usalama wa gari yako nenda kanunue mwenyewe oil kwa branch za kuaminika hasa toyota na maduka makubwa ya wahindi town hawana janja janja ila ukubali tu bei zao zimenyooka hakuna oil ya sh 45000 kule
Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums mobile app
Total kwenyewe ni wapi kuna makao makuu ya total hapa bongo yanayouza oil? Nachojua mimi total ni wauzaji wa nishati ya mafuta na oil pamoja na gas ambao wamefungua matawi yao kama ni huduma utazipata kwenye matawi yao sasa unavyosema uende total kwenyewe ni total ipi
Unavyosema matawi ni...
Na ndio maana gari zinakufa kwa kasi kubwa kwa sasa uhuni umekuwa mkubwa mimi kwa sasa oil nilienda kununua kwa toyota wenyewe kkoo wale wenye vibali wana bei lakini ni og filter tu ni 35000 ila mtaani filter 10k 5k unategemea nini
Ushauri wangu ukitaka kubadili engine oil usimuachie kazi fundi...
Mimi mara ya mwisho nilinunua engine oil ya vitz w30 toyota branch kkoo authorised na filter original wenyewe na nikampelekea fundi mwenyewe nikamsimamia , oil og kanunue kwa wahusika wenywe au maduka makubwa ya wagindi hawana kona kona ila ndio bei
Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums...
Kama mnavyojua kwa sasa kumekuwa na janga kubwa sana la mafundi feki ambao wamekuwa wakiuwa sana magari yetu hasa mafundi wa injini mimi nikiwa mhanga wa gari iliyopita uliuliwa na mshenzi mmoja gari tatizo lilikuwa ni mfuniko wa rejeta wa kubadilisha akafungua head gasket gari haikurudi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.