Recent content by SISIS

  1. SISIS

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Natumia vitz 2007 new mdl cc 1290, yangu mafuta fresh angaliwa fuel pump, zile piston vzr zinaweza changia alafu kagua masega Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums mobile app
  2. SISIS

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Ishu ni moja tu kwa usalama wa gari yako nenda kanunue mwenyewe oil kwa branch za kuaminika hasa toyota na maduka makubwa ya wahindi town hawana janja janja ila ukubali tu bei zao zimenyooka hakuna oil ya sh 45000 kule Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums mobile app
  3. SISIS

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Na hao nlishawah skia hzo story Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums mobile app
  4. SISIS

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Total kwenyewe ni wapi kuna makao makuu ya total hapa bongo yanayouza oil? Nachojua mimi total ni wauzaji wa nishati ya mafuta na oil pamoja na gas ambao wamefungua matawi yao kama ni huduma utazipata kwenye matawi yao sasa unavyosema uende total kwenyewe ni total ipi Unavyosema matawi ni...
  5. SISIS

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Na ndio maana gari zinakufa kwa kasi kubwa kwa sasa uhuni umekuwa mkubwa mimi kwa sasa oil nilienda kununua kwa toyota wenyewe kkoo wale wenye vibali wana bei lakini ni og filter tu ni 35000 ila mtaani filter 10k 5k unategemea nini Ushauri wangu ukitaka kubadili engine oil usimuachie kazi fundi...
  6. SISIS

    Mtu anamshangaa muislamu mwenzake anayekula nguruwe wakati yeye anakula kisamvu cha kopo.

    Hahaha Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums mobile app
  7. SISIS

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Mimi mara ya mwisho nilinunua engine oil ya vitz w30 toyota branch kkoo authorised na filter original wenyewe na nikampelekea fundi mwenyewe nikamsimamia , oil og kanunue kwa wahusika wenywe au maduka makubwa ya wagindi hawana kona kona ila ndio bei Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums...
  8. SISIS

    Uzi maalum wa kulengesheana mafundi wazuri wa magari

    Kama una fundi wako weka no
  9. SISIS

    Uzi maalum wa kulengesheana mafundi wazuri wa magari

    Kama mnavyojua kwa sasa kumekuwa na janga kubwa sana la mafundi feki ambao wamekuwa wakiuwa sana magari yetu hasa mafundi wa injini mimi nikiwa mhanga wa gari iliyopita uliuliwa na mshenzi mmoja gari tatizo lilikuwa ni mfuniko wa rejeta wa kubadilisha akafungua head gasket gari haikurudi na...
  10. SISIS

    Mwaka 2009 tulipata Div 0 ila 2026 tumemshangaza hadi Tanzania one 2009 huko alipo

    Wasomi wamekuja na makasiriko sana na hawana hella[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. SISIS

    Mwaka 2009 tulipata Div 0 ila 2026 tumemshangaza hadi Tanzania one 2009 huko alipo

    Sasa mtu ana bilioni 4 benki alafu kilaza hebu tuonyeshe akili yako ww
Back
Top Bottom