Recent content by SISIS

  1. SISIS

    JamiiForums Tanzania Mke wa jirani yangu anaenda kuliwa na siwezi kusema

    Nadhani mnajua mm siletagi chai hapa sasa nyumba nnayokaa kigamboni kuna mwana kahamia juzi tu hana miezi 2 baada ya kutoka kuowa akachukua apartment pale akahamia na mkewe wameanza maisha mapya na mkewe kajaza nyuma usipime very beautiful Saaa hii nyumba kuna mwana anakaa jamaa mishe zake ni...
  2. SISIS

    JamiiForums Tanzania Crdb wamekataa kunibadilishia hela chakavu nielekezeni pa kwenda

    Na niliwaambja mawakala wao ndio wamenichanganyia kwenye mzunguko wananiambia niwapelekee mawakala sasa nikawauliza nitamjuaje huyo wakala na wapo wengi
  3. SISIS

    JamiiForums Tanzania Crdb wamekataa kunibadilishia hela chakavu nielekezeni pa kwenda

    Nimeenda nimemkuta mtu wa dawati wale customer care akaniambia niende kwa teller nimefika namkuta binti namueleza nae kamiluita sijui ni bosi au supervisor jamaa kakataa,, na nna acc kwao
  4. SISIS

    JamiiForums Tanzania Crdb wamekataa kunibadilishia hela chakavu nielekezeni pa kwenda

    Tawi la kariakoo narungmbe tena noti hazijakatika zimechakaa tuu na nna account crdb ipo ila wamekataa wanasema eti wakizipeleka wanakatwa hela nikawaambia nnayo 40000 nikateni mimi inayobaki wekeni kwenye acc yangu wakagoma nimepiga simu huduma kwa wateja customer care wanasema walitakiwa...
  5. SISIS

    JamiiForums Tanzania Crdb wamekataa kunibadilishia hela chakavu nielekezeni pa kwenda

    Na mimi niliwaambia bot nawezaje kwenda na nyie mpo na nna acc hai
  6. SISIS

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Watu mnafeli sana milini 20 wekeza kwenye biashara ww unalipwa mshahara sh laki 5 unaenda kukopa sh 20m
  7. SISIS

    JamiiForums Tanzania Crdb wamekataa kunibadilishia hela chakavu nielekezeni pa kwenda

    Kama mnavyojua hali ngumu na mm ni mteja wao hela nlizipata humo humo kwnye mizunguko ya mawakala kama mnavyojua hali ngumu 40000 si haba Nimeenda tawi lao la kariakoo hata kuzipokea wamekataa na ni hela ambazo no zote zipo pande mbili zimechakaa tu nna nna account kwao na nawauliza...
  8. SISIS

    JamiiForums Tanzania Naomba ma-IT wa kibongo wazindue whatsapp na facebook za kibongo

    Instagram kwa sasa wanajeuri kwa sababu wamekosa mpinzani hada ticktock wangekuwq vizururi tungehamia huko, kwa sasa wamekuwa majeuri haswa wanafunga funga account hovyo na ukifungiwa moja wanafunga zote hata ukifungua mpya hadi ubadili sim hawa jamii forum nao wamelala kuna kipindi niliwashauri...
  9. SISIS

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Malaika hawaji tena kuutembelea ulimwengu kama zamani?

    Naam nimekaa nikajiuliza sana Ulimwengu kuna mahali tulikosea sana au kuna nini hadi Malaika hawaji tena kama zamani. Mimi kwa Dini ni Mkristo na Mara ya mwisho naamini Malaika kushuka Duniani ni Kipindi cha Mtume Muhammad S.W.A Miaka 1400 iliyopita aliposhukiwa na Malaika Jibril na baada ya...
  10. SISIS

    JamiiForums Tanzania Utata wa DNA Wamfikisha Jérémy Doku Kwenye Talaka?

    Na hapa ndio huwa naamini mwnamke bikra ni sahihi,wanawake wenye maex ni sumu
  11. SISIS

    JamiiForums Tanzania Utata wa DNA Wamfikisha Jérémy Doku Kwenye Talaka?

    True
  12. SISIS

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini mafundi magari wengi ni matapeli

    Elewa tuliendesha km 1300 sio 130k haikuchemka alafu mtu anakwambia gasket ya kukakaza[emoji23][emoji23][emoji23]
  13. SISIS

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini mafundi magari wengi ni matapeli

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom