Excellence......
Yani huku JF kuna watu hatuwajui Wala sio ndugu zetu na Wala hawaringi...
Tunashukuru kwa kuwa walimu wa kujitolea kwa muda na kwa vitendo pia. Mwenyenzi Mungu azidi kuwafanyia wepesi katika kazi za mikono yenu ili nà sisi tunaotafuta maarifa kwa vitendo siku Moja tufanikiwe...
Nemc your absolutely right...
But sina uhakika kama mwananchi anayeenda kuchukuliwa hatua anayo elimu juu ya hicho kiwango Cha kelele na namna gani ya kuzipunguza au kuzicontrol hizo kelele.....
Kwa maana hiyo Basi, nemc kabla ya kuanza hiyo kamata kamata wangeanza kwañza kutoa elimu kwa...
Mheshimiwa angetoa ufafanuzi zaidi kwenye maelezo yake, kwani kutokana na maelekezo yake hayo kutakuwa na mrundikano mkubwa wa mabasi ndani ya kituo Cha mabasi pamoja ya usumbufu mkubwa kwa abiria kwani kuwepo na vituo vidogo dogo vya mabasi Kunasaidia wasafiri wenye watoto pamoja na mizigo...
Ahsante sana kiongozi..., Natumaini kàtika yale mengi uliyonayo kuhusu cryptocurrency umejaribu kushare nasí yale machaçhe ambayó ni ya muhimu zaidii
Ikikupendeza tumaomba uendelee kutupa elimu na mwongozo juu ya uwekezaji huu wa kidigitali ili tuweze kunufaika nao na kuenenda na kasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.