Imeandikwa kuwa mtawatambua kwa matendo yao,kutabiri na mambo yakatokea haimaanishi kuwa ni mtumishi wa Mungu. Anaweza kutabiri mambo kwa nguvu za mwovu na yakatokea na hapo ndipo wanadamu huchanganyikiwa. Siku za mwisho watatokea manabii wa uongo watafanya ishara nyingi na yumkini hata walio...
Tuyachunguzeni maandiko ndugu zangu. Mtawatambua kwa matendo yao......siku za mwisho watajitokeza manabii wa uongo...yu mkini hata wateule watadanganywa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.