1. Nilikuwa nikiangalia juu usiku jinsi nyota zilivyo nyingi nilikuwa najiuliza, "Hii yote inaishia wapi?".
2. Hivi ukiweka mafuta kwenye gari yanafanya nini mpaka gari linatembea? Kwanini tusiweke tu maji, actually I had a dream of making cars that use water instead of petrol.... usiniulize imeishia wapi
Haya ndio maswali machache yaliyonifanya nipende sana science....
3. Huyu Mungu tunayemwomba kila siku ni mkubwa kiasi gani na anapata wapi uwezo wote huo, tunamwomba tukienda kutafuta, tunashukuru tukipata, tunaomba kabla ya kula, kulala halafu tukiamka tunashukuru!!! Huyu Mungu ni nani hasa?
-- Maswali mengi nilikuwa nabaki nayo tu maana ningeitwa mpinga mkristo