Hii fair kabisa tena kama uko maeneo yenye uhaba wa vitu kama mchanga au materials nyinginezo tegemea ziongezeke zaidi lakini inategemea unajenga kitu cha aina gani
Kujibu vizuri hoja kama hizi unamjibu kibobezi kabisa na kusight vifungu vya sheria na namna sahihi ya kucalculate kama unajua kweli - kuita hoja ya mwenzako upuuzi na huku hujaweka hoja/majibu kinzani haijakaa vizuri...anyways keyboard ni yako lakini siwezi kukupangia
Dunia inahitaji balance - hapana shaka degree ulizozitaja zina umuhimu na heshima yake , lakini pia imagine dunia nzima ingekua watu wamesoma degree hizo peke ake bila kua na wataalamu wa vitu vingine , ingekua ni dunia ya ajabu au pengine ya kipekee. Mtu wa medicine anamtegemea mtu aliyebobea...
Tatizo la nchi yetu ni kwamba watu wengi wanadhani kuwa chaguzi zikiwa mbovu, barabara zikiwa duni, au huduma za afya zikiwa hafifu, basi hayo ni matatizo ya Chadema pekee—kana kwamba ni Chadema peke yao wanaoteseka. Ukweli ni kwamba, mfumo mbovu wa taratibu, ikiwemo haki za msingi, unawaathiri...
Kama pesa sio yako iache kwenye account /wallet ili watu wa mitandao wareverse na kumrudishia mwenyewe...ukiitoa ni kama wizi mwingine wowote tu ni vile hujakamawatwa na mamlaka au wananchi wenye hasira kali
Natafuta fundi anaeweza kuondoa hewa kwenye pipes zinazopitisha coolant kwenda kwenye cooling system ? Pia kama ana ile machine ya vacuum inayotumika kujaza coolant itapendeza sana . Kama upo naomba nii DM tafadhali
uko sahihi ! Lakini taarifa za hivyo zinamuathiri mhusika moja kwa moja hata kwa mfano kama Mh Mkurugenzi alikua anaplan za kugombea Ubunge au nafasi nyingine yeyote hapo amekua amechafuka sana. Hata kama Takukuru wata mclear bado anabaki na doa kubwa sana ukizingatia hizo ni pesa za umma
unapata vizuri tu
1.JKT hawakulipii huo mkopo
2.Sio kigezo cha kupata mkopo - hakipo ukisoma katika vigezo vya heslb
3.Mkopo ni haki yako kama unatimiza na kukizi masharti yote ya HESLB
4.Kumbuka mkopo sio zawadi - utaulipa baadaye - kama una uwezo wa kusoma we jisomeshe mkopo waachie wanaohitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.