Recent content by SIRE

  1. SIRE

    Series (Special thread)

    Hii website unayotumia ni ipi?
  2. SIRE

    Series (Special thread)

    Mkuu, unatumia website Gani kudownload movies kwenye simu?
  3. SIRE

    Kitu gani unatamani ukifute maishani moja kwa moja?

    Kifo kilimchukua yule malaika Angel Frank kila nikilala naona taswira yake kwenye mboni zangu, huzuni inaniingia, nakosa cha kufanya. I fuckin miss her, I wish I had a death Cure.
  4. SIRE

    Jinsi ya kutoboa kupitia biashara ya mazao (nafaka)

    Kwenye mpunga kuna hela ila wasiwasi wangu ni pale ambapo mtu ananunua mpunga afu anaenda kuweka kwenye godown au mashineni. Huwa sikaamini hawa watuzanji. Mwenye experience atufahamishe.
  5. SIRE

    Iran ndiyo ingekuwa Israel, Ritz na FaizaFoxy wangekuwa wanajidai hao

    Us Sioni kama ni jambo zuri kuhusisha imani ya watu au kumuhusisha Mungu wa waislamu "Allah" katika mijadala ya kisiasa. Mkristo mwenye maadili hawezi kumkejeli Allah. Wala muislam mwenye maadili hawezi kumkejeli Yehova. Ninashawishika kuwa ni huwa Mungu mmoja ila majina ni tofauti.
  6. SIRE

    The dark side of business

    Utakuwa umetisha sana mkuu, tutengenezee softcopy.
  7. SIRE

    The dark side of business

    Hiki kitabu kinanipa mawazo sana kwa kweli. Mwenye nacho atupatie.
  8. SIRE

    Leo nakutajia na kukuelezea aina 4 za kuku Asili(kienyeji pure) Kwa kina

    Asante mkuu kwa maarifa, Katika hizo aina zote tajwa hapo juu ni aina ipi inapendwa sokoni lakini pia haivamiwi na magonjwa kwa urahisi.
  9. SIRE

    The dark side of business

    Kama sio yeye basi Tanzanian Dream utanisahihisha maana nimeambiwa ni huyo.
  10. SIRE

    The dark side of business

    Mwandishi Anaitwa Paul Owor, lakini kitabu bado ni mbinde hakipatikani.
  11. SIRE

    Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    Basi kama kuna mtu Huwa namuona ni mpumbavu ni yule anayesema hakuna Mungu. Kuna vitu vonatia hasira sana. Nimeumia sana kwa ajili yako. Kwa hiyo na wewe unajiweka kwenye kundi la wanasayansi ambao hawaamini kuwa kuna Mungu. Hao wanasayansi deep down wanaamini Mungu yupo sema wameshindwa...
  12. SIRE

    The dark side of business

    Tuambie jina la mwandishi wa the dark path. Mungu atakubariki.
  13. SIRE

    Mambo gani ya ajabu umekutana nayo ukiwa kwenye faragha?

    Sure hata sielewi sababu. Nahisi ni coincidence.
  14. SIRE

    The dark side of business

    Mzigo umekaa poa sana, ila kumbuka ulisema ijumaa hii unashusha wote.
Back
Top Bottom