The dark side of business

The dark side of business

Kitu kimoja nilichojifunza adi muda huu ni kwamba,Haina budi kujifunza jinsi ulimwengu wa kiroho unavyofanya kazi.
Naona kama mojawapo ya viumbe tunaoishi katika huu ulimwengu hatuwezi kujitenga na nature,Everthing matter na kila kitu kinachotokea kwenye maisha yetu sio kwa bahat mbaya,we are concern.
Tuwe makini na ishara ambazo ulimwengu(nature)inajaribu kutuambia,hatuwezi kujitenga na nature.
You're very right
 
Kuna mtu anaitwa INFROPRENUER amekuwa akikosoa sana huu Uzi Hadi akafungua Uzi wake kupinga utajiri wa kishirikina, nimemwandikia kisa halisi cha kijana alimaliza form four 2022, akafeli MTIHANI wa Taifa kwa kupata div. Four ya 32,... LAKINI Leo anamiliki bajaj MBILI za abiria MPYAAA, kwamba ana MAONI Gani katika kisa hiki, naona kapotea
 
Back
Top Bottom