Nadhani nimechelewa kuzijua na kuzifuatilia nyimbo za madilu system na Franco japo Mimi ni wa miaka ya 90 ila hawa jamaa walikua wanaimba sana,kila siku lazima nisikilize nyimbo zao japo naelewa vichache sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah madilu system nipo nasikiliza vibao vyake vilivyotamba enzi zake,nzele,ya Jean,vice versa,hii ndio ilikuwa rhumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba imepangwa na TP Mazembe ya DR Congo kwenye mechi ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye droo iliyochezeshwa mjini Cairo
Mamelodi Sundowns wakikutana na Al Ahly, Horoya AC vs Wydad AC na Esperance vs Constantine
Simba itaanzia nyumbani kutokana mfumo wa michuano hiyo kwa kuwa...
Ahly amfunge Vita atafikisha pts 10 Vita atabaki na 4,Simba ashinde atakuwa na 9 akipata droo sio mbaya atakuwa na 7 ila hapa taifa akipata droo au au akishinda atakuwa amefuzu hatua inayofuata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa tunawaonea huruma wanawake ktk daladala hasa wakiwa wajawazito,wazee au wagonjwa ila shida huwa inakuja kwao ni wagumu mno,alafu hawapendani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiufupi kujisafisha kwa maji baada ya kujisaidia kwangu ndiyo njia salama na bora,haya mambo ya toilet paper huwa nahisi ni kuongeza uchafu tu,halafu huwa naona huwezi mtu kutakata,Yani utumie toilet paper dah hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli wanatuumiza Sana mashabiki wa simba wachezaji wengi ni mizigo hawana hadhi ya kuwa pale,kipa hana changamoto amerelax nae ni mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui tunafeli wapi tukiwa ugenini wachezaji wanapata karibia kila kitu lakini matokeo yake hawajitumi,Hadi dk hii nakwenda kulala tumeshapigwa na mwarabu 5 daah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ipo sana vyuoni na mbaya zaidi hawazingatii kilichowapeleka vyuoni,wazazi wanajitahidi sana kwa Hali na Mali watoto wao wasome lakini wakifika vyuoni wanachukua majukumu ya kuwa wake au waume,hakuna ndoa itakayodumu baada ya maisha ya hapo na Kama ikitokea ni chache Sana.
Sent using Jamii...
Ila hii post ni ya Malisa gj niliisoma Facebook katika page yake,ni wewe mwenyewe umeileta huku mkuu au umefanya kuicopy na kupaste bila ya kumpa walau credit aliyeiandika?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.