Habari wana Jamii forum wenzangu.
Msaada tafadhali haja kubwa kuwa na halufu Kali (mbaya)ni hali ya kawaida au tatizo, msaada tafadhali mwenye uelewa na hili. Ahsante
Boda boda kufungwa Tela, ili kuzuia Ajali.
Dar es Salaam. Ni siku saba tangu ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amekuwa mjadala katika vyombo vya habari kutokana na kauli na mikakati yake mbalimbali anayopanga kuifanya.
Jana Julai 7, 2018 katika maonyesho ya kimataifa ya...
AJIRA! AJIRA!
NAFASI ZA AJIRA YA WALIMU WA ARTS NA BIASHARA.
*NAIS* organization ya watu wa Marekani inatangaza nafasi za kazi za walimu wa masomo ya ARTS na COMMERCE
Eg.
Kiswahili,Literature,geography, commerce, book keeping, nk
kwa walimu wa biashara hakikisha walau una ufaulu wa *D* pass...
Natafuta binti wa kazi za nyumbani, majukumu ni kulea mtoto na kufanya kazi za kawaida za nyumbani.
umri kuanzia miaka 18 mpaka 23 lakini hata chini ya huo umri pia nitampokea . Awe tayari kufanya kazi mkoa wowote hapa Tz (mjini au kijijini) mshahara ni mzuri na nimaelewano pia.
mawasiliano...
hii ni filamu tu ambayo iliigizwa hivi karibuni, hivyo hiyo ngozi nyeusi uliyoiona ilikuwa imeshatawanyika Siku nyingi sana by the way Israel ipo Jirani sana na Africa especially nchi za Africa ya kaskazini
Hii Mara nyingi inasababishwa na uzito wa mwili ulipoelemea either unaweza kuelemea kushoto au kulia pia matege nayo yanachangia kwa kiasi kikubwa pamoja na namna mtu anavyotembea, nadhani nimekujibu mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.