kwa nyakati tulizo nazo ni ngumu sana kumpata mwanamke wa aina hiyo
kwa sababu unaweza ukamuona mpole lkn kumbw kwa wanaume chiriku anapenda kushobokea, wanaume sana anapenda makubwa, wivu kwa sana, hawezi kuzuia hisia zake n.k.........
Hata kichina nacho kimeshika hatam yaani bidhaa zao nyingi lazima waweke japo kaneno kamoja ka kichina
lugha nayo inaishi na chochote kumalizia kinachoishi hukua, na kufa hivyo kiswahili lugha yangu adhwiimu ni kiswahili na siyo kiarabu bali kwani kimekopa maneno ya kiarabu kama kingereza...
jamani mimi ninatatizwa na taarifa ya NACTE kuhusu wale waliokosa kuchaguliwa katika vyuo walivyoomba eti ni KUKOSA NAKALA YA MATOKEO. Je katika form ile kuna sehemu ya nakala ya matokeo? naombeni msaaada ndg zangu.
Mbona kuna mitihani hakufanya mkuu?
mitihan gani mkuu na matokeo yake kwa ujumla yapo je? division ngapi? naomba mnijuze. Saumu abdalah, kisaba sec lushoto tanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.