Clinical officer vs medical laboratory

Juju_Kiki

Member
Apr 17, 2015
36
2
Habari ndugu zangu. Mimi naomba mnijuze kati ya clinical medicine na medical laboratory ipi ni bora na yenye ajira kwa haraka. Na mishahara yake ipoje? Na je kama mtu akisoma certificate miaka miwili ili kuendelea diploma ni lazima aanze tena miaka mitatu au anaendelea mwaka mmoja?
 
Habari ndugu zangu. Mimi naomba mnijuze kati ya clinical medicine na medical laboratory ipi ni bora na yenye ajira kwa haraka. Na mishahara yake ipoje? Na je kama mtu akisoma certificate miaka miwili ili kuendelea diploma ni lazima aanze tena miaka mitatu au anaendelea mwaka mmoja?
Zote nzuri ila CO ndio nzuri zaidi then utasoma diploma for a one academic year baada ya kumaliza certificate(two years), kwa swala la salary cjajua ngoja wazoefu waje watujuze
 
Kiwango cha mshahara hawapishani ni sawa ila tofauti yao ni kwamba huyu wa CO anakuwa boss wa clinical laboratory ndio tofauti yao pia huyu CO anaweza kwenda kufanya kazi hata kijijini kusikokuwa na umeme kitu ambacho ni tofauti na wa laboratory yeye lazima afanye kazi mjini kwenye umeme kwani kazi zao mara nyingi zinahitaji pawe na miundombinu hiyo ili aweze kupima sampuli za wagonjwa
 
Sifa za kuapply CO ni
bios-d
chemistry-d
Physics-d
English at least-d pamoja na math ikiwa ni sifa za nyongeza.
Hii ni kwa ajiri ya kusoma cert ambayo ni miaka 2.
KUSOMA DIPLOMA LAZIMA UWE NA VIGEZO VIFUATAVYO.
-Bios-C
-chemistry-C
-Pysics-D
Math na kingereza ni sifa za nyongeza walau upate D katika somo mojawapo hasa kiingereza.
Huu utasoma miaka 3.
zingatia
Biology+chemistry+physics+english ni muhimu zaid kufaulu.
 
Zote nzuri ila CO ndio nzuri zaidi then utasoma diploma for a one academic year baada ya kumaliza certificate(two years), kwa swala la salary cjajua ngoja wazoefu waje watujuze
Mkuu Hebu pitia ulichokiandika! Hakuna Diploma ya Mwaka 1 hata Kama umepitia Certificate.

Certificate 2 years, then Diplona 3 years, and Finaly MD 5 years.
Total 10 years.
Hizo hela utakazosomea kama utafanyia Biashara unafikiria utakua wapi baada ya miaka 10?
 
Habari ndugu zangu. Mimi naomba mnijuze kati ya clinical medicine na medical laboratory ipi ni bora na yenye ajira kwa haraka. Na mishahara yake ipoje? Na je kama mtu akisoma certificate miaka miwili ili kuendelea diploma ni lazima aanze tena miaka mitatu au anaendelea mwaka mmoja?
Mkuu Chukua Hiyo Medical Laboratory na wala usichukue CO.

Kwanini Ninakushauri Hivyo??
Hiyo Ni Kwa ajili ya Future yako!! Ukitaka Sifa na Kuangalia Hapa Karibu! Basi utaona CO ndiyo Kila kitu. Ila Kumbuka Kuwa Utahitaji Kusoma Zaidi Baadaye Kwa Ngazi ya MD! Hapo Ndiyo Patamu!!!!!!!

Mkuu Sasahivi Katika Course yenye Ushindani Wa Kupindukia Vyuo Vikuu ni MD hususan kwa wale waliopitia Diploma, Na vyuo vya MD vinazidi kufungwa ilhali wasomi wanaongezeka, Kwahiyo Unaposoma CO basi utakuja kukwama Kwenye MD.

Lakini unaposoma Medical Laboratory
utapeta Kwenda Kusoma Degree Coz ushindani wao unakua sio Mgumu Kivile, Na Vyuo Vinavyotoa Hii Fani Ni Vingi.
 
Yaani hata shule hujaenda, huna uhakika wa qualification zako kama utadahiliwa, alafu unakuja jukwaani kuuliza mishahara inakuaje? kweli kichwa kipo vizuri hicho?. Mwenye uhakika wa mambo hayo juu yako ni Mungu pekee, mengine fuata maelekezo. Ukiambiwa usikojoe hapa! kama ww ni binadamu basi hilo eneo usijaribu kushusha zipu au kutelemsha sketi bali wewe pita maana huna vigezo vya kukojoa hapo!!. Masomo mema kama utaenda kusoma!
 
Sifa za kuapply CO ni
bios-d
chemistry-d
Physics-d
English at least-d pamoja na math ikiwa ni sifa za nyongeza.
Hii ni kwa ajiri ya kusoma cert ambayo ni miaka 2.
KUSOMA DIPLOMA LAZIMA UWE NA VIGEZO VIFUATAVYO.
-Bios-C
-chemistry-C
-Pysics-D
Math na kingereza ni sifa za nyongeza walau upate D katika somo mojawapo hasa kiingereza.
Huu utasoma miaka 3.
zingatia
Biology+chemistry+physics+english ni muhimu zaid kufaulu.

Inategea walioomba wana ufaulu gani. Mwaka huu 2016 cut off ya clinical officer ilikuwa div 1 pt 17. Nimekosa na div 2 ya pt 20
 
Mshahara wa CA na lab technician unafanana

Mshahara wa CO na Lab tech diploma unafanana

Uzuri wa kozi zote nzuri hakuna kozi ya afya mbaya

Na kozi hizi zinategemeana katika utendaji wao
 
  • Thanks
Reactions: THT
Medical Laboratory ni nzuri zaidi maana unakuwa na limitation compared to Clinical Officer,then Medical Lab unaweza kujiajili kwa urahisi zaidi...
 
Mkuu Chukua Hiyo Medical Laboratory na wala usichukue CO.

Kwanini Ninakushauri Hivyo??
Hiyo Ni Kwa ajili ya Future yako!! Ukitaka Sifa na Kuangalia Hapa Karibu! Basi utaona CO ndiyo Kila kitu. Ila Kumbuka Kuwa Utahitaji Kusoma Zaidi Baadaye Kwa Ngazi ya MD! Hapo Ndiyo Patamu!!!!!!!

Mkuu Sasahivi Katika Course yenye Ushindani Wa Kupindukia Vyuo Vikuu ni MD hususan kwa wale waliopitia Diploma, Na vyuo vya MD vinazidi kufungwa ilhali wasomi wanaongezeka, Kwahiyo Unaposoma CO basi utakuja kukwama Kwenye MD.

Lakini unaposoma Medical Laboratory
utapeta Kwenda Kusoma Degree Coz ushindani wao unakua sio Mgumu Kivile, Na Vyuo Vinavyotoa Hii Fani Ni Vingi.
You nailed it.
 
Kati ya hizo nzuri zaidi ni CO.

Anayesoma CO anaweza kujiendeleza mpaka akawa daktari bingwa.

Ajira za CO ni nyingi na zinalipa vizuri.
 
Habari ndugu zangu. Mimi naomba mnijuze kati ya clinical medicine na medical laboratory ipi ni bora na yenye ajira kwa haraka. Na mishahara yake ipoje? Na je kama mtu akisoma certificate miaka miwili ili kuendelea diploma ni lazima aanze tena miaka mitatu au anaendelea mwaka mmoja?
Nakushauri usome Medical Lab. Ma C.O ni wengi sana sahv, nafasi za ajira ni nyingi kwa watu wa Lab tofauti na C.O.

Pili ukisoma certificate miaka miwili ukihitaji kusoma diploma inabidi ufanye kazi miaka isiyopungua miwili. Ukiwa C.O ngazi ya certificate kupata ajira hata private ni shughuli.

Mishahara haina tofauti sana.

Pia Chances za kujiajiri ni easy kwa medical lab kwan unaweza kuanzisha maabara yako ukapima watu bila hata kuwa na C.o Lakn C.O hawez kufanya kazi bila mtu wa Lab.

Halafu kuhusu kusoma diploma miaka 2 au 3 baada ya kusoma certifocate, iko hivi;
Ukimaliza certificate ukitaka kusoma diploma ktk chuo kolicho chini ya Nacte utasoma mwaka mmoja. Vyuo vya Nacte vina mfumo wa NTAs. Hivyo miaka miwili uliyosoma ni NTA Level 4 na NTA Level 5 hivyo utamalizia NTA Level 6 ambayo ndiyo Diploma. Lakn uwe umefanya kazi 2 years.

Ikiwa unataka kusoma dilploma ktk vyuo vilivyo chini ya TCU utatakiwa kusoma miaka mi3 hata kama umeshafanya kazi miaka 2. Na utatakiwa uwe na na ufaulu wa GPA isiyopungua 2.7

Nawasilisha.

Karibu tuboreshe Afya za wapendwa wetu.

Kama una swali lingine kuhusu Lab Karibu.
 
Back
Top Bottom