Recent content by sir ide

  1. sir ide

    Nchi inaliwa jamani wanavuna bila huruma hii hapana kuweni na kiasi

    Ungetumbia ni nan huyo anaechukua zaid ya hizo bilion 2 kwa siku kwa ushahid tungekuona wa maana saana, ila hizo ngonjera zako hazitasaidia chechote!!
  2. sir ide

    Mpango wa kuwania ubunge 2025

    Huto tuhela twako tutaisha ndan ya wiki moja, halafu hautaamin jimbozima unapoambulia kula 50, nb;tanzania hakuna chama cha upinzani!
  3. sir ide

    Mafundi wetu wanaweza kutengeneza kioo cha Evolli TV?

    Imeisha hyo boss hata usijisumbue! inatakiwa ubadilishe kioo bei yake sasa!
  4. sir ide

    Katibu Mkuu CCM (Chongolo) amtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Pindi Chana kujiuzulu

    Apumzike tu huyo mama, hyo wizara na huyo mama hapana!
  5. sir ide

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    MBOLEA YA RUZUKUUU, SOKO LA MAZAO KUFUNGUKAAA, AMANI NA UTULIVUU KUONGEZEKAA
  6. sir ide

    Kwanini Mungu alikubali mwanae pekee afe ili tuokolewe na sio kumuua shetani aliye chanzo cha dhambi zote?

    Yesu amekuja juzi kati hap wakat watu wanaendelea kuishi, je?? kabla ya yesu mungu alikuwa na mpango gani na hao watu wake?
  7. sir ide

    Kumbe mpenzi wangu anajiuza

    Vitafuno vimechekrwa kidogo
  8. sir ide

    Hawa mabinti wawili watanitoa roho

    Kama moyo wako unashindwa kujua nn unataka sisi wengine ambao hata hao mabinti hatuwafahamu tutakusaidia nn?? NB; kama unaowa mwanamke kwa ajili ya kazi KAOWE PUNDA! mwanamke ni pambo la nyumba!
  9. sir ide

    Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

    Mzee ambae alikuwa anatoa huo utajiri alishakufa, alikuwa akiishi sehemu moja inaitwa isagwa , unaingilia ilula unashika boda ndo unafika, alijenga haswaa, ukifika mwenyewe unakuwa mpole! ila mikoba alibaki nayo mwanae wa kiume! ila nasika hawiki kama baba yake,
  10. sir ide

    Kwanini sukari imekuwa ghali saaana wakati viwanda vipo nchini vya kutosha?

    inapaswa mtu anapotamka tunalinda viwanda vyetu, VIWE VYA BABA AKE!!!
  11. sir ide

    Natafuta Watu wa kung'oa visiki shamba heka mbili Mlandizi

    Kung'oa visiki eka moja elfu 70?? punguza utani mkuu!!
Back
Top Bottom