Recent content by Sir felix ntenyange

  1. S

    Nahitaji iPhone 5s

    Una bei gani cash mkononi
  2. S

    Je, hii ina madhara gani katika mahusiano?

    Kwanza kabisa huyo anakupenda sana na anafuture nawewe ila sasa ukisema uwe unampa hela direct wakati hataki usikae kimya kuna vitu ambavyo inabidi uwe unavifanya kama kumtumia zawadi za nguo viatu pia weekend moja moja unamwambia Leo nataka uende saluni kwa gharama yangu unamtumia hata arobaini...
  3. S

    Sijui atamwambia wife?

    Kwanini unakuwa mjinga kiasi hicho wewe unamuacha mke kitandani unafuata mgeni khaa!!! Ebu badilika mkeo hata kama kaambiwa amekusamehe koma kabisa huo ni udhaifu na ujuha nakama utashindwa kubadilika uwe unawapeleka guest tena kwa makubaliano sio unavamia chumbani na kijinoti mkononi.... Koma...
  4. S

    Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

    Mbona wewe unapost page huku ukionesha wazi wewe ni team mondi?! Kuhusu kiba kupigiwa kura nikutokana na hit single yake ya mwanadsm ilivyofanya vizuri kama Mwaka jana mondi alivyotoa hit single yake ya my no 1 ambayo ilipelekea kubeba tuzo saba na kuibuka na tuzo 3 katika Africa.
  5. S

    Human Resources Manager and Sales Executive wanahitajika

    Ok nakazi itakuwa located dar pekee bila matawi?!.
  6. S

    Mlinda mlango maarufu afumaniwa mke wa beki wake

    Mke wake Malaya tu kwanini alimkubali jamaa yake?! Ukiona hivyo dili namkeo jamaa hana kosa kwasababu mkeo anatoka nyumbani anaenda hadi guest halafu wewe unaenda kufanya vurugu ni kujidhalilisha tuu, mkeo hakukubali acha udhaifu katika kufanya mapenzi na uache ubahili. TIMIZA WAJIBU WAKO!.
  7. S

    Diamond Platnumz afunguka kuhusu tuzo za Killi Music Awards

    Mond ww n kjana uliyeptia mambo mengi ebu jaribu kunichek me mbunge mtarajiwa nikushauri ktaaruma
  8. S

    TANZIA John Nyerere afariki dunia

    R.I.P john Nyerere
Back
Top Bottom