Recent content by Sir Carter

  1. Sir Carter

    Ushauri: Aliwahi kutumia dawa za uzazi wa mpango sasa anapata ugumu kushika mimba. Anawezaje kupona tatizo hili? Nitafute mtoto kwingine?

    Mkuu pole sana kwa hilo tatizo. Ila hizi njia za uzazi wa mpango sizo kabisa kuna watu kadhaa nimesikia wakizilalamikia. Mmoja huyu katoka kuongelea jana tu.
  2. Sir Carter

    Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Pole sana kaka, Mwenyezi Mungu akujalie uponyaji wa haraka. [emoji1431]
  3. Sir Carter

    Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Hongera kwa uwekezaji Mkuu. Somo hili pia tumelichukua, Asante…
  4. Sir Carter

    Nifanye nini kumudu maumivu ya kushuhudia siku za mwisho za uhai wa mke wangu?

    Pole sana bro, Mwenyezi Mungu akakuongoze katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza Mke wako…
  5. Sir Carter

    Wapenzi wa pombe kali usiache kupitia huu Uzi!

    Inakuaga ni [emoji91]
  6. Sir Carter

    Jina gani la Kibantu ambalo umewahi kulisikia hapa nchini likakuduwaza?

    Kuna mwana nimemsikia juzi kati hapa anaitwa Kufa Kunoga
  7. Sir Carter

    Fahamu Aina za Kodi Zinazotozwa Pindi unapoingiza Gari Nchini

    Mamlaka zinanyanyasa wananchi kwenye upande wa kodi hapa [emoji1430]
  8. Sir Carter

    Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

    Kuna namna ukiitafakari hii, kuna hoja hapa [emoji1421]
  9. Sir Carter

    Nimeachwa nifanye nini

    Kama kwa mara tatu mfululizo, kila mwaka unaachwa mwezi huu wa kwanza. Kaa kwa kutulia jitathmini kuna shida mahali kwako ambayo bado hujaigundua.
  10. Sir Carter

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Upuuzi tu, kucheleweshana kwenye masuala ya Tehama wakati Dunia imehamia huko...
  11. Sir Carter

    What should I do?

    Kwanza unatakiwa kujua hili, unaweza kuwa na watu wengi lakini wasiwe na msaada kwako... _______ Pia njia mojawapo ya kupata mafanikio katika maisha ni kujitahidi kutengeneza marafiki wapya, bila kuangalia status zao... Kupitia Marafiki wapya utapata mawazo mapya. Na Njia kubwa kwa sasa ya...
  12. Sir Carter

    Leo tusalimiane kwa lugha za makabila yetu

    Hata mimi nimeona hii kitu...
  13. Sir Carter

    Leo tusalimiane kwa lugha za makabila yetu

    Turevedi, herehoa?
  14. Sir Carter

    Nitajihusisha na financial markets maisha yangu yote

    Uko vizuri Mkuu, Economic Calendar ukijua kucheza nayo hupati tabu Sokoni...
Back
Top Bottom