Habari makuu,hivi karibuni kuna mradi nilikua najaribu kutengeneza na kukwama katika kipengele cha namna clients wanaweza fanya nalipo. Ninichotaka kujunzwa ni payment getways zinazo oparate Tanzania na zina favour startups kny matter ya cost...
Sam
Samahani,ndege zinatumia jet engine ambazo hufanya combustion kutegemea oxygen iliopo kny atmosphere ,hivyo haiwezi ruka kny altitude ya juu ambako amn oxygen,labda rockets ambazo zinabeba oxygen yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.