Smart phone sio tatizo kwa mabinti tu hata wanaume nao ni balaa, tusilamu wanawake tu, hata wanaume pia ni hivyo hivyo, balaa kote kote. Ni kumuomba mungu sana kukuepusha kupata mtu asiyefaa
makubwa! kumsaidia mzazi wako unauliza mtandaoni,
Eti yeye chama kingine wewe kingine, kuwa tofauti kisiasa kuna uhusiano gani na vinasaba?
Haya kama una watoto waulize hilo swali wakupe jibu.
Wakristo nao wanazo mahakama zao mfano kanisa Katoliki lina mahakama yake ambayo inaanzia katika parokia, jimbo na mwisho ni Vatican lakini hata siku moja hawajawahi kudai igharimiwe na serikali au lazima serikali iitambue. kwa nini wwaislamu wao wanataka mahakama yao tu itambuliwe? Masuala ya...
Kiongozi wa dini kuonana na mkuu wa nchi ni tatizo? kweli humu majuha ni wengi. Eti mmoja anadai kwa nini walizugumza peke yao bila kup mtu mwingine. Kweli humu waropokaji ni wengi liko thnkers.
Kazi kwelikweli,
Bodaboda limemuangukia hilo. Kuna utata hapo wa tukio. kama uwezekano wa kumtenda ni mkubwa, Mh kaumbukaje ingawaje aibu kubwa inabaki kwa wafiwa, Maiti haina haibu.
Ila kuzika mke aliyefia kwenye mchepuko inataka moyo tena wa kusamehe sana otherwise ni ngumu maana mfiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.