Mapenzi hayathaminiwi kabisa siku hizi

Mapenzi hayathaminiwi kabisa siku hizi

Yamenishinda kwaherin, mwenda kwao haogopi giza mademu wa mjini wamenishinda naenda bush kukamata wife. Jambo kubwa niombeeni yasijekunikuta yale ya NIKUSAIDIAJE, kijana fuata nyendo zangu utafanikiwa.
 
Hukutaja dini gani na unahitaji wa umri gani

Mimi ni mkristo, haijalish ni muislam ama ni mkrito, akiwa mwislam asiwe na mosimamo isiyoendana na maisha halisi, yaani isione km ukristo ni tatizo, umri asizidi 30
 
Pole sana brother.... Huenda unatafuta wanawake wa kileo...madada duu...hawa hawajui kitu zaid ya kuangalia status na kutumia peza zako unazopata kwa jasho na mateso...

Kimsingi mwanamke yeyote atakuumiza tuu kwa namna moja au nyingine...jambo la muhimu ni kutafuta yule ambae ana thamani ya chozi lako.... Tuliza akili potezea na soon utamuona yule ambae mungu amekutafutia maana maandiko yanasema mungu hukupa yule unaefanana nae...

Asante kwa kunitia moyo, naamini Mungu hutumia wanadam hawahawa kutatua matatizo yanayowakabiri binadam wengine ndo maana niko hapa jamvini
 
Kwa miaka hii inatakiwa uombe Mungu sana akusaidie kumpata msichana unaemtaka kuishi nae. Kuna jamaa juzi alikuwa analalamika kampata binti wakakubaliana kuwa marafiki na hatimaye waje kuishi wote. Binti alikuwa na simu ya kawaida. Jamaa akajaribu kumpandisha hadhi akampa smartphone. Yule binti akaingia mitandao ya kijamii akapata marafiki wengi wa kiume. Sasa hivi hata maelewano hakuna tena. Hayo ndio mambo ya kisasa. Kwa hiyo inatakiwa uvumilivu na kumuomba Mungu akuongoze kutafuta mwenza wa maisha.

Smart phone sio tatizo kwa mabinti tu hata wanaume nao ni balaa, tusilamu wanawake tu, hata wanaume pia ni hivyo hivyo, balaa kote kote. Ni kumuomba mungu sana kukuepusha kupata mtu asiyefaa
 
Pole xana mkuu,ila inavyoenekana we ndio ulimpenda shemeji ila shemeji alikukubal kutokana na misaada yako.

Naweza kukukublia hoja yako lkn sikufanya kumpora toka kwa mtu mwingine na si kwamba anapenda tuachane, angalau ningejua kwenye 6x6 lkn hapo nilikuwa natimiza wajib sawasawa maana sector hiyo najiamin
 
nenda pale kwa kimboka buguruni utawakuta kibao ukimtoa pale barabarani ukaweka ndani unaanza nae maisha na kila kitu kinakuwa fresh kabisa no stress

Wanajishughulisha na nn hao mkuu
 
Pesa unazo lakini au?
Maana sie tunajijua, bila pesa sawa na kusubiri daladala la Mbagala Bagamoyo

Raha ya mahusiano ninayoyataka ni ya kutafta pesa pamoja, tukifahamiana na muhusika km anajua anachokitaka mawazo km yako hayatamsumbua madam anajitambua
 
Kwa miaka hii inatakiwa uombe Mungu sana akusaidie kumpata msichana unaemtaka kuishi nae. Kuna jamaa juzi alikuwa analalamika kampata binti wakakubaliana kuwa marafiki na hatimaye waje kuishi wote. Binti alikuwa na simu ya kawaida. Jamaa akajaribu kumpandisha hadhi akampa smartphone. Yule binti akaingia mitandao ya kijamii akapata marafiki wengi wa kiume. Sasa hivi hata maelewano hakuna tena. Hayo ndio mambo ya kisasa. Kwa hiyo inatakiwa uvumilivu na kumuomba Mungu akuongoze kutafuta mwenza wa maisha.

Kwa umri nilio nao na upeo nilio nao hawez nidaganya, akiwa na tamaa atafanana na fisi, atapata shida, pia wa dizain hii asijisumbue ntamfaham asbuh tu
 
Yamenishinda kwaherin, mwenda kwao haogopi giza mademu wa mjini wamenishinda naenda bush kukamata wife. Jambo kubwa niombeeni yasijekunikuta yale ya NIKUSAIDIAJE, kijana fuata nyendo zangu utafanikiwa.

Wabush nao wakikutana na ulimwengu mpya wa mjini memory yote inaerase na kureload upya kwa kas bila mpangilio
 
Pole si kwako tu mi mme wangu anahawala lakin kila sku yule mwanamke ananitumia sms za matus naumia sana ila mungu atajibu maombi yangu
 
Watu tunathamini pesa mapenzi taarabu.

Maendeleo ya nchi yanaanzia ktk familia, familia zikiendeshwa kwa mtindo huo usilalamikie yale unayokutana nayo katika utendaji wa serikali yetu kila unapohitaji huduma, halaf mwisho wake nn?
 
Mkuu, tukomae na Pasua vichwa wa town? But now day's hakuna wake lazma tulijue hilo ciz tunawaita sogea tufike.
 
Pole sana mkuu wazungu wanasema everything can be achieved through hardworking except love
 
Mkuu kimbiza kupigia kura ukawa 25 oct mambo mengine sometimes na mfumo unachangia😀😀😀
 
Mapenzi hayalazimishwi hata siku moja.inaonekana unalazimisha.ndo hilo balaa lake sasa.
 
Back
Top Bottom