missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,337
pole sana mkuu..uwa nawaonea sana huruma watu wanaoteseka kwenye mapnz...nwei my waif wako anatumia jina gani insta?
Hahaa..naona unataka kuchangamkia fursa.
pole sana mkuu..uwa nawaonea sana huruma watu wanaoteseka kwenye mapnz...nwei my waif wako anatumia jina gani insta?
Nataka k
Nataka k
Nataka k
Duh.Nadhani Hii thread ulianzisha lakini lengo lilikuwa ufike hapa.Tumekuelewa unataka k ya chumvi chumvi.
Tafadhali huyo ni moja ya matatizo yalioletwa na ccm
Ccm wameshindwa kupambana na ujinga
ccm hawana subira
ccm hawana ustaarabu
ccm kila kitu wanajua
ccm wanaona kila asiyemuelewa haeleweki kumbe wao ndio hawaelewi
kwa hasira tuwaondoe ccm ili kuwapunguza wajinga kama fasols
Duuuh .... Super HKukufollow unifollow namie nkukeep bize
kwani we unataka k?
Haya masimu sio ya kuzoea kabisa yanafunga ubongo wako usiwaze kitu kingine
Haya masimu sio ya kuzoea kabisa yanafunga ubongo wako usiwaze kitu kingine
Ningekuwa mimi ningefurahi tu, maisha yenyewe ni mafupi sana kuruhusu mtu akuleteee stress
sidhani kama una stahili kuwa na mke...Habari zenu,
Najuta mke wangu kujua haya masimu ya kufuta futa.Yani mwanzo kwa hela yangu nilimnunulia simu hiyo ya kisasa ili aendane na wenzake akaja akaiuza kwani ilikuwa inajizima na istack akarudi kwenye tochi nikaona afadhali tukakaa miezi kadhaa akawa hana simu.
Sasa dada yake akaja akamnunulia simu pana kubwa hapo ndio balaa ilipoanzia yaani amekuwa mgonjwa wa simu yuko instagram kila saa hadi usiku ni huko huko hakuna cha mapenzi wala nini salama labda iishe charge na umeme uwe umekatika.
Nina siku 14 na zaidi hakuna cha mapenzi wala nini akishapika anaingia kwenye simu,mume wake amekuwa simu hasa instagramu.
Sasa nifanyeje?
Kumbe hukusoma vizuri, analalamika hapewi k!Mke yuko bize instagram!Kukufollow unifollow namie nkukeep bize
kwani we unataka k?
Habari zenu,
Najuta mke wangu kujua haya masimu ya kufuta futa.Yani mwanzo kwa hela yangu nilimnunulia simu hiyo ya kisasa ili aendane na wenzake akaja akaiuza kwani ilikuwa inajizima na istack akarudi kwenye tochi nikaona afadhali tukakaa miezi kadhaa akawa hana simu.
Sasa dada yake akaja akamnunulia simu pana kubwa hapo ndio balaa ilipoanzia yaani amekuwa mgonjwa wa simu yuko instagram kila saa hadi usiku ni huko huko hakuna cha mapenzi wala nini salama labda iishe charge na umeme uwe umekatika.
Nina siku 14 na zaidi hakuna cha mapenzi wala nini akishapika anaingia kwenye simu,mume wake amekuwa simu hasa instagramu.
Sasa nifanyeje?