Man to man is so unjust, children
You don't know who to trust
Your worst enemy could be your best friend
And your best friend your worst enemy
###
Some will eat and drink with you
Then behind them so-so 'pon you
Only your friend know your secrets
So only he could reveal it
Hypocrites and...
Kwa kiwango hichi cha kufikiria cha wachangiaji wa mjadala huu
Nchi ina safari ndefu kufika na Inapoteza kodi nyingi sana kama wachangiaji ni wanufaika wa Bodi ya Mikopo Tanzania.
Nakubaliana nawe.
M/mungu ni mwenye Huruma kwa waja wake.
Kwa namna wananchi wa kawaida walivyoumia na kusononeka kwa kifo chake ni nadhiri ni Miongoni mwa waja wema wa M/mungu.
Sina uhakika kwa Dunia hii na Afrika kwa ujumla kama kuna shirika la habari lenye Archive kubwa[Maktaba] kama TBC. kuanzia mziki, hotuba na kadhalika mfano wa sasa kwa miaka 20 baadae ni kama watakavyokuja kumsikilia kwa wakati huo Mwl Kashasha say 2040.
Ifanyeni hii archive ya kibabe iwe hai na...
Tume yetu ya uchaguzi imekua kimya sana kuchukua hatua kwa kauli tata zinazotoka kwa Wagombea katika uchaguzi huu. chaguzi hasa Barani Afrika hazijawahi kuwaacha salama waafrika na bila ya mifakano ya kutosha.
Inawezekana Imeshatoka miongozo mbalimbali lakini kadri tunavyozidi kufanya chaguzi...
Its real Joe.
Kwa mfano yeye anasema angetengeneza diversion za kisasa pale Tazara badala ya lile, kisha kilichobaki angekwenda kwenye mnada wa matreka klaaus Germany ama John deere Brazil kwa zile B kadhaa ambazo zitakua zimebaki.
Atachukua matrekta na excavators za kutosha.Mto Ugalla kama...
Asante Buddy kwa kuliona kosa la kimaandishi. Mzee Hashimu Rungwe naamanisha. Inawezekana kilo kua chini hata ya 400 inategemeana wazalisha vipi na mara ngapi kwa Mwaka kwa Technologia ipi.
Fanya Power tiller ziwe na bei ya chini zaidi ya Bodaboda. Fanya wawe na hamu ya kununua matrekta zaidi...
Nakuelewa sana Mzee wangu.
Na kama ulivyosema jana inawezekana kula wali kuku sio issue. Kama tunakula kuku kutoka mpaka Brazil kwa elfu 5000/-hatushindwi kuwazalisha wenyewe.
Inawezekana pia kilo ya mchele ikauzwa sh 400/- Kama mbuga nzuri za kulima mpunga toka Magu mpaka Kwimba, Misungwi...
Inna lillah wa inna ilayhi rajiuun.
Usiache kuandika unatoa hamu ya waja kuwafanyia waja wenzao mema na mazuri na kwamba watu wema hawajesha bado wapo hata leo.
Kama wizara ya mambo ya ndani asilimia kubwa imejiri watu wa ukanda fulani kwa ukakamavu na ushujaa basi wizara ya viwanda na Biashara wangepewa wachanga na wakinga.
Makabila yetu yanachangia sana matokeo ya jitihada zetu katika maendeleo
Kwa vijana huu ni ujumbe wenu
Either upate ajira, labda iwe serikalini sehem nyingine kwa nyakati hizi Ni hell of gamble on your life unaweza kopwa mshahaha hadi miezi 6
Lakini kuna fursa za kipekee katika mikoa hii RUKWA&KATAVI kwa anayeweza kukomaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.