Naunga mkono hoja. Pesa ina tabia ya kuleta uraibu, addiction ndo maana inapendwa, na waliolta pesa wanajua kuwa pesa hutengeneza watumwa kwa vile kila mtu hupenda kazi ngumu ifanywe na mwingine kwa sababu ana pesa, pesa sio tatizo tatizo ni kuifanya pesa kuwa karatasi, yaani un print tu then...
Nahisi wewe ni kajizi fulani, yaani unataka uibe kwa maandishi, mbona unapenda kazi za pesa pesa? Unataka kuwa tajiri haraka haraka!!
Tafuta kazi yako, mimi sina ya kukupa
Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale...
Hebu elezea mwanamke ambye umeishi naye zaidi ya miaka 20 na amezaa matoto usiongee kama unaongea na na kabinti ka miaka 20, assume wewe una kilo 73 mkeo ana kilo 95 kanenepa afu eti umuweke kifuani..
Mimi niliachaga dini mazima mwaka 2012 hivi kuja huku, siabudu chochote zaidi yangu, kama Mungu yupo basi ninaishi naye mimi humu ndani yangu kusikoonekana, na hivyo mimi kuwa Mungu kama sehemu ya mawazo yake.
Dini ni ushenzi kabisa unazidi kufunga watu na kuwa wajinga.
Mimi nishaumwa na kupona ugonjwa huu, na unatesa na kujisikia huna hamu ya kuishi..
Lakini nimepona baada ya kutumia dawa za asili nikionyeshwa mti nikanywa majani yake na mizizi.
Pia kubadilisha mfumo wa maisha wa ulaji ndo unapona kabisa, bawasili ni ugonjwa wa mgongo, hata godolo unalolalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.