"Wanasema ukipanga Mungu anacheka"
Elimu Ni Diploma. (2017 Bank & Finance).
Umri :29
Experience: Niliwahi kuwa msaidizi wa muhasibu wakati nasoma.
Pamoja na masoko na mauzo.
Mtaani Mambo magumu Sana jamani, Yaani wakati huu umri huu, nakiri nimeshimdwa kujipata, na nikutokana na Mianguko mingi Sana ya harakati za kujiajiri, biashara nk. (Kushindwa kujipata haina maana nimekata tamaa)
Nilipo Sasa nahitaji tu kushikwa mkono , nirahisishe maisha , nisonge mbelee.
Ni wazi Nina ndoto kubwa sana , ya kufika kule nataka kufika, na kwa uzoefu siwezi fika bila watu.
Ndugu wananchi, mwenye kazi, Viwandani, Vibarua, Maduka karakoo, Office vinywaji (msimamizi) , Cashier , nk
Uaminifu Ni Mkuu Sana.
Nakaribisha chumba Cha mazungumzo.
Namba yangu Ni hii.
#0763075691 Nipigie
Asanteni.
Elimu Ni Diploma. (2017 Bank & Finance).
Umri :29
Experience: Niliwahi kuwa msaidizi wa muhasibu wakati nasoma.
Pamoja na masoko na mauzo.
Mtaani Mambo magumu Sana jamani, Yaani wakati huu umri huu, nakiri nimeshimdwa kujipata, na nikutokana na Mianguko mingi Sana ya harakati za kujiajiri, biashara nk. (Kushindwa kujipata haina maana nimekata tamaa)
Nilipo Sasa nahitaji tu kushikwa mkono , nirahisishe maisha , nisonge mbelee.
Ni wazi Nina ndoto kubwa sana , ya kufika kule nataka kufika, na kwa uzoefu siwezi fika bila watu.
Ndugu wananchi, mwenye kazi, Viwandani, Vibarua, Maduka karakoo, Office vinywaji (msimamizi) , Cashier , nk
Uaminifu Ni Mkuu Sana.
Nakaribisha chumba Cha mazungumzo.
Namba yangu Ni hii.
#0763075691 Nipigie
Asanteni.