ugumu wa PCB unakuja kwenye urefu wa sylubus basi,, bt PCB pia ili uweze kuipenda pale utapofaulu ni lazima umake sure umefaulu BAM(APLIED MATH) hapo utapata kozi nying sana chuo.
PCM haina range kubwa kama PCB.
kwangu naona PCB ngumu kuzid PCM bt kwa matokeo ya science kwa bongo wote PCM na...
sehemu ya kufanyia biashara aina ya chips(kiepe) inahitajika..
maeneo yoyote yale ya UBUNGO, KIMARA, MBEZI YA KIMARA...
kama una hyo sehemu plz tuwasiliane..
0755175252 au
0769225102...
Ukiwa form 4, huwez kwenda kusoma elimu ya juu, coz elimu ya juu inaanzi na DEGREE.
Labda useme kumpeleka chuo cha kawaida akaanze huku kusaka DIPLOMA.
jaman natafuta sehemu ya kufanya field mwez wa pili.. mahali hapa hapa DAR, nasoma agriculture engineering...
ata ukinambia kampuni tu linalojihusisha na mambo hayo ntafurah sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.