Recent content by Simon Templar

  1. Simon Templar

    Siku yenye taswira mpya kwa CCM ni Julai 23, 2016

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 20/07/2016 TAREHE 23/07/2016 SIKU MUHIMU KWA CCM NA TAIFA KWA UJUMLA Ndugu waandishi wa habari na Watanzania kwa ujumla, poleni na majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa. Sote tunaelewa kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajiwa kufanya Mkutano Maalum Julai 23...
  2. Simon Templar

    Sikia kauli ya 'Vijana wa CCM Imani' wawajibu Mbatia na Tundu Lissu

    Katika kipindi ambacho makundi ndani ya CCM yanaonekana kupwaya, lakini inaonekana kama kuna vita ya chini kwa chini inayoendelea ndani ya chama hicho. Kutokana na figisu za chini kwa chini, hivi sasa wameibuka vijana ambao wanajipambanua kama 'CCM Imani' ambao wanasema wamedhamiria kupambana na...
  3. Simon Templar

    ACT Wazalendo: Kauli ya Rais Magufuli ni vita dhidi ya demokrasia na uhai wa vyama vingi nchini

    Kauli ya Rais ya Kuzuia Vyama vya Siasa Kufanya Shughuli za Siasa kwa Miaka Mitano ni Tangazo la Vita dhidi ya Demokrasia na Mfumo wa Vyama vingi Nchini Tumepokea kwa MSHTUKO na masikitiko makubwa kauli ya Rais kwamba vyama vya siasa havipaswi kufanya siasa isipokuwa wakati wa Kampeni na...
  4. Simon Templar

    Haya ndiyo mafanikio ya Rais Magufuli katika kipindi cha miezi 8 iliyopita

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 23/06/2016 UTAFITI MIEZI 8 TOKA MHE RAIS JOHN MAGUFULI AMECHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ndugu waandishi wa habari habari za leo na pole kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa. Taarifa yetu itajikita katika maeneo makuu...
  5. Simon Templar

    Suala la Kitwanga Kutumbuliwa: Sasa ni kuchafuana tu, kigogo CCM ataka madiwani Misungwi wakanushe

    Wakuu, Tangu kutumbuliwa kwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, Mei 20, 2016 na Mhe. Rais John Magufuli kwa madai ya kuingia Bungeni akiwa 'amelamba kinywaji', kumekuwa na mivutano mingi ya kisiasa kuanzia huko Bungeni hadi jimboni Misungwi. Kuna kundi la madiwa 19 ambao...
  6. Simon Templar

    Madiwani Misungwi wavaa joho la Kitwanga, sasa kulishtaki Bunge Mahakama Kuu Mwanza Ijumaa hii

    Awamu hii kuna vituko sijapata kuona... wacha tusubiri
  7. Simon Templar

    Madiwani Misungwi wavaa joho la Kitwanga, sasa kulishtaki Bunge Mahakama Kuu Mwanza Ijumaa hii

    Wandugu, Lile sekeseke la kufutwa kazi kwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, kwa tuhuma za kulewa akiwa kazini limechukua sura mpya ambapo sasa madiwani wa Wilaya ya Misungwi katika jimbo ambalo analiwakilisha Kitwanga, wamekuja na kali baada ya kuamua kufungua kesi...
  8. Simon Templar

    Shs. 300 milioni zadaiwa kumng'oa Kitwanga, mawaziri watatu wahusika!

    Wadau, nimepokea taarifa hii hapa: KASHFA ya Lugumi, madai ya uswahiba wake na Rais John Magufuli na kasi ya utumbuaji wa majipu wizarani kwake ni miongoni mwa sababu zilizohalalisha mtandao kumng’oa Charles Kitwanga katika Wizara ya Mambo ya Ndani. Taarifa zilizopatikana mwishoni mwa wiki hii...
  9. Simon Templar

    Ufisadi kupitia zabuni za NSSF: Dr. Dau na genge lake wawajibishwe!

    Farewell to Arms: Barua ya Dr. Ramadhani Kitwana Dau kwa wafanyakazi wa NSSF
  10. Simon Templar

    Ufisadi kupitia zabuni za NSSF: Dr. Dau na genge lake wawajibishwe!

    Nameza mate kwanza halafu nije baadaye. Naona maluweluwe, sitaki kuamini ninachokiona hapa!!!
  11. Simon Templar

    Ofisi ya DPP yatuhumiwa kupokea 30m/- kuzima kesi ya mauaji ya mwanafunzi

    Kuna taarifa kwamba, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) imetuhumiwa kupokea Shs. 30 milioni ili kuzima kesi ya mauaji ya mwanafunzi Joel Chacha kabla haijafikishwa mahakamani. Machi 21, 2016 baba wa marehemu, Peter Chacha, amemwandikia barua Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji George Masaju...
  12. Simon Templar

    The Clintons’ $93 Million Romance with Wall Street

    For 24 years Bill and Hillary Clinton have courted Wall Street money with notable success. During that time the New York banks contributed: * $11.17 million to Bill Clinton’s presidential campaign in 1992. *$28.37 million for his re-election in 1996. *$2.13 million to Hillary Clinton’s...
  13. Simon Templar

    Drug War Capitalism: An Interview with Dawn Paley

    Dawn Paley is one of the best journalists covering the Drug War in Latin America in the English language. Her work has been published in NACLA and many other international publications, covering Latin America extensively. Dawn’s book, Drug War Capitalism (AK Press 2014), provides a provocative...
  14. Simon Templar

    Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

    Waatheist wanaweza kujibu vizuri
Back
Top Bottom