Hahahha nahisi intelligence ndan ya hii comment.
Nadhani inabidi watanzania tupate elimu kwanza.
Rushwa na wazungu kutuibia ni kwa sababu uelewa wetu bado mdogo sana kwa ujumla.
Nadhani tunahitaji kuja na njia yetu tofauti ya kutufanya tuendelee kama nchi za kiafrika.
Hawa wazungu wamekuwa...
Nina pata shida kuelewa uwezo wako wa kufikiria kama upo chini ya miaka 18 nadhan tatizo ni umri wako lakini kama una zaidi ya miaka 18 basi wewe utakuwa na shida
Hii tabia ya kuharibu viti sio kitu kizuri au sisi watanzania tumezoea majukwaa ka ya ccm kirumba..
Referee na wasaidizi wake nao wamekuwa pumba sana...
Lakini ndo mpira ...kikubwa tujifunze kutunza vyetu
Huo usawa unaoongelea haupo.. Mbona haujalalamika utofauti wa ufaulu wa hao madaktari na walimu ili wadahiriwe kwenye hizo degree.. Fikiria kabla ya kuandika
Hili Jambo kama ni kweli basi hii serikali inawabidi wajiulize tena, huyo raia wa kawaida wanayempigania awe na maisha mazuri ni nani, kama sio huyu daktari anayetoka chuo na kufanya mafunzo ya vitendo...
Maisha ya intern ni sehem ngumu sanA mtu anafanya kazi hata muda wa kupumzika inakuwa...
Hii kweli ni kushindwa kazi
Hivi huyu waziri na hawa makamanda wa polisi wameona njia sahihi ya kupunguza maambukizi ya ukimwi ni kukamata makahaba, Hapa ni kutafuta kuandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti yetu.
Wanashindwa kuona elimu ya ukimwi haitolewi kama awali, kwa kiwango cha juu
Ka...
Mkuu,
Hawa jamaa hata hawaoni Dr anahangaika na nini
Daktari wa tz waliowengi wanapata shida sana.
Hawa wanasiasa inabidi wawe makini na maamuzi yao hizi kiki wanazotaka zitaleta shida
Hhahahaa
Huyo muitaliano hajui kutoa rushwa ni kosa pia
Yeye pia atasota nyuma ya nondo.
Au anataka kifo cha wengi na wazir tajwa ..
Kupanic kubaya
Duh!! Bongo patamu sana
Shida yako ni kwamba sijawahi kukuona ukiongelea kitu kwa mtazamo chanya siku zote kulalamika ndo kusema wewe ni bingwa wa kutafuta matatizo au wewe ni mbinafsi sana huwezi kumsifia mtu mwingine.
Basi jifunze kusifia watu wengine hao ndo watakusaidia ukiwa hoi kitandani na kukuzika.
Nadhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.