Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,779
- 18,747
Hawa watu wamekuwa wakiandika posts nyingi kwenye ukurasa wao wa Facebook zenye nia ya kufarakanisha na saa nyingine kuleta mshtuko ili wapate watembeleaji kwenye mtandao wao na comments nyingi kwenye posts zao
Kuna posts waliandika kuhusu Mrisho Gambo wakimnukuu 'Mkinipa ubunge nitawapa mashamba' kisha wanakuandikia soma na kukuwekea link ukifungua ndani ni tofauti na kilichoandikwa
Leo kuna post nyingine nimeiona wameandiaka ''Odinga ameuawa Kenya, mwili wake waupwa sokoni'' na kuweka link soma...
Hii ni mifano michache tu ila wanaandika posts nyingi kama hizi ukiingia kwenye ukurasa wao wa Facebook utashuhudia
Ni namna ya uandishi ambao hauna weledi kabisa na unaolenga kuvuta traffick kwenye website yao kwa njia ya kuleta taharuki
Ningewaomba TCRA najua mpo huku Jamiiforums muwaonye hata kuwachukulia hatua watu hao maana wanalenga kuleta taharuki
Kuna posts waliandika kuhusu Mrisho Gambo wakimnukuu 'Mkinipa ubunge nitawapa mashamba' kisha wanakuandikia soma na kukuwekea link ukifungua ndani ni tofauti na kilichoandikwa
Leo kuna post nyingine nimeiona wameandiaka ''Odinga ameuawa Kenya, mwili wake waupwa sokoni'' na kuweka link soma...
Hii ni mifano michache tu ila wanaandika posts nyingi kama hizi ukiingia kwenye ukurasa wao wa Facebook utashuhudia
Ni namna ya uandishi ambao hauna weledi kabisa na unaolenga kuvuta traffick kwenye website yao kwa njia ya kuleta taharuki
Ningewaomba TCRA najua mpo huku Jamiiforums muwaonye hata kuwachukulia hatua watu hao maana wanalenga kuleta taharuki