Recent content by Simba wamilimani

  1. S

    Nimeota ndoto Simba anatolewa na Namungo kombe la Mapinduzi

    Haya ebu amka uanike godoro ulilokojorea
  2. S

    Yanga imefungwa goli 11 Mapinduzi Cup

    Safari imeanza
  3. S

    Haki ya Mungu nimejikuta namkumbuka Magufuli ghafla tu

    ''hii ni serikali yangu siyo ya ccm'' alisema magufuri. Magufuli ndiyo kiongozi pekee wa ccm alipata kupigiwa kura namimi, na sifikiri kama atatokea mwingine pale ccm au hata upizani wakuweza kunishawishi kumpa kura yangu. MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI
  4. S

    Spika Ndugai, pamoja na Msamaha kukataliwa atembee Kifua mbele

    Hii mechi siyo nyepesi kama wanavyofikiri mashabiki
  5. S

    Spika Ndugai, pamoja na Msamaha kukataliwa atembee Kifua mbele

    Sawa sawa ngoja tuangalie itakuwaje.
  6. S

    Spika Ndugai, pamoja na Msamaha kukataliwa atembee Kifua mbele

    Nani amekudanganya kwamba kuongoza kwa ball possession ndiyo ushindi, watu wanatumia counter attack sikuizi. Hii mechi ni tamu sana ni sawa na dabi ya kariakoo, wacha tusubiri dakika 90 zitaamua.
  7. S

    Kwanini wanawake wengi wa siku hizi wana makalio makubwa?

    Hii ndiyo sababu, Umewaza kama mimi.
  8. S

    Mume ashuhudia mkewe akichepuka

    Tangawizi umeweka kidogo
Back
Top Bottom