''hii ni serikali yangu siyo ya ccm'' alisema magufuri.
Magufuli ndiyo kiongozi pekee wa ccm alipata kupigiwa kura namimi, na sifikiri kama atatokea mwingine pale ccm au hata upizani wakuweza kunishawishi kumpa kura yangu.
MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI
Nani amekudanganya kwamba kuongoza kwa ball possession ndiyo ushindi, watu wanatumia counter attack sikuizi.
Hii mechi ni tamu sana ni sawa na dabi ya kariakoo, wacha tusubiri dakika 90 zitaamua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.