kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Kwa masikitiko tunawatangazia kifo cha panya magawa kilichotokea huko nchini Cambodia.
Chanzo cha kifo cha panya Magawa kimetokana na uzee kwani alikua na umri wa miaka minane.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya kipenzi chetu panya magawa.
Pia soma
Panya Magawa astaafu kazi ya kufichua mabomu kimataifa
Panya Mtanzania atunikiwa nishani ya Dhahabu kwa umahiri wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini
Chanzo cha kifo cha panya Magawa kimetokana na uzee kwani alikua na umri wa miaka minane.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya kipenzi chetu panya magawa.
Pia soma
Panya Magawa astaafu kazi ya kufichua mabomu kimataifa
Panya Mtanzania atunikiwa nishani ya Dhahabu kwa umahiri wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini