Mimi kwa upande nikiwaga serious kwenye kipindi Cha maombi au kufunga au nikiwa karibu na mungu kipindi flani najikutaga automatic pombe naichukuia na naacha na hata zile kampani za pombe uwa hazinitafuti ZINAKIMBIA na hii kitu sio mara moja ni zaidi ya mara mbili na hapa uwezi amini nimemaliza...
Habari Ndugu zangu naombeni msaada hata ajira, iniweze kunisaidia kiuchumi niongezee kipato, Mimi KIJANA nimeajiliwa sehemu Ilaa mshahara Wangu ni Mdogo Sana na hautoki kwa wakati, inaniliazimwi niingie kwenye madeni Sana, alafu unakuta unategemewa nyumbani Nina watoto bado nauli kwenda ofisini...
Madeni hayaepukiki ila sio yakuyaendekeza Mimi Nina madeni Hadi nakosa amani na mengine hayalipikii ila katika Uzi wako nimekuelewa Sana ila kiukweli ukiona mtu aliefanikiwa ndio anamadeni mengi mfano mo dewji yee ndio tajiri no moja ila ndio anaongoza kwa madeni hapa Tanzania mfano hata...
Ukisha ajiliwa ukitegemea mshahara uwezi kuweka akina Ndugu yangu subiri yakukute mfumo wa ajira ulivyo wanakulipa hela hela ya nauli, Kodi na kusurved kwenye kula tu wanakupigia mahesabu ndio maana hata ukifukuzwa kazi leo mwezi tu Ile hela kiunus mgongo ikiisha unaalia pia hata ukisema iingie...
Karibuni mniungishe perfume 0786426284 piga simu sema TIBA_PERFUME nauza perfume za aina zote boss zangu, duka langu lipo (EXTERNAL UBUNGO) watu wa dar es salaam nafanya free delivered NA mkoani natuma kwa ghalama za mteja pia unaweza ukatembelea page yangu ya instagrame natumia kama...
Karibuni mniungishe perfume 0786426284 piga simu sema TIBA_PERFUME nauza perfume za aina zote boss zangu, duka langu lipo (EXTERNAL UBUNGO) watu wa dar es salaam nafanya free delivered NA mkoani natuma kwa ghalama za mteja pia unaweza ukatembelea page yangu ya instagrame natumia kama...
Karibuni mniungishe perfume 0786426284 piga simu sema TIBA_PERFUME nauza perfume za aina zote boss zangu, duka langu lipo (EXTERNAL UBUNGO) watu wa dar es salaam nafanya free delivered NA mkoani natuma kwa ghalama za mteja pia unaweza ukatembelea page yangu ya instagrame natumia kama...
Tafuta hela wanawake wengi watakufata hadi utawakimbia huyo unamngania nini embu fikilia mtu diamond, hamornize au fred vunja ni mwanamke gani akimtaka atamkataa shida yako unatumia nguvu kutafuta mtu sahihi wakati hizo nguvu zibadilishe kutafuya hela utakuja kupata watu sahihii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.