Jamani anaejua mafuta mazuri ya kuondoa darkspot bila kuchubua ngozi

Ninasumbuliwa na darkspot jamani nimetumia mafuta kibao lkn Bado hali ni ile ile ni nafuta gan mazur ya kutumia . Aina ya ngozi yang ni oily skin
images.jpg
 
sasa kuna mawili mafuta ya ngozi na kuondoa dark spot. Mafuta tafuta yenye vitamin E na C. Uje unishukuru
 
Back
Top Bottom