Mnaona wivu Katambi kuwasamehe wenye dhambi,wakosaji na wavunja Sheria za nchi?? Katambi amewasamehe na wakosaji wamesema hawatarudi kwenye dhambi Tena!! Mnataka afanje nn Tena? Katambi ana kosa gan kutumia 4Rs kuwapatanisha watu?
Wezi,wauaji,mafsad ndo wapo salama ,na wanatakiwa waishi ni wale Wanao waabudu na kuwasifia hata wakijamba wanaimbiwa wimbo wa kuwatukuza kuwa wanajamba marashi na pafyumu nzur sana,hao ndio wapo salama ,
Hii nyongwa unayosema imenikumbusha kisa kimoja kwenye Biblia jamaa anaitwa Hamani alivyo kua amejiandaa kumnyonga jamaa mwingine anaitwa Mordekai,akawa ameandaa nguzo ndefu sana Kwa ajili ya execution ya kunyanga Mordekai alaf sku yenyew ile Ile nguzo aliyomwandalia mwenzie akanyongwa yy!!!
Dogo ana utovu wa nidhamu sana,hata kama ametikea unguja lakn kua na dharau Kwa Nchimbi,makamu wa Rais,aliyewah kua katibu mkuu wa ccm,balozi wa TANZANIA nchini brazil, Wazir wa wizar tofaut tofaut,mwenyekit wa uvccm ,dogo apunguze zarau
Huwa nataman
Sjui waanze kufunga vyuo vyetu vya uandish wa habar,, yaan kuanzia magazet mpka television huwez vutiwa na habar kila chombo Cha habar ni 27 ya kijan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.