Recent content by Simba mundu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Mm nashaur muwekewe mikeka ili baadae kitu Cha pilau na wali zkija mle bila kua na wasiwasi
  2. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Labda akale wali maharage maana Hana la maana tofaut na kusema Lissu aendelee kukaa ndan na Heche akamatwe
  3. S

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Huyu lazma mafwe amle na nnavyo mjua ashamla
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi kujifunika shuka moja na mimi, nifanyaje?

    Nmeongeaa naye kasema Huwa unajamba sana kias kwamba anafkia sehem anataman shame hapo
  5. S

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni atishia vita na Kenya kuhusu bahari ya Hindi

    Hlabda lake vi Achana na iyo baharibhata lake Victoria tuna plan iwe ya Tanzania peke ake!!!
  6. S

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Serikali haiwezi kumsingizia msomi wa chuo kikuu kwa ugaidi

    Sasa ww unaona Kuna hoja gan mbal na ujinga mtupu ,,Nan asiye jua vyuo vikuu ni tanuru la fikra huru ,Tena somo analofundisha huyu mwalima anayeitwa gaidi??
  7. S

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Serikali haiwezi kumsingizia msomi wa chuo kikuu kwa ugaidi

    Huyu baba ni vzur akapimwa akili zake mapema ,huyu mgonjwa wa akili hivi Kuna ktu asichojidai anakijua ,yaan anashoboka mno kias kwamba anaingilia mpaka kazi za wengne azizo jua, yaan kila ktu yumo ,nahis ana trauma ya muda mrefu sana maana kila kitu anataman awe yy ndo headlines ,akiona tundu...
  8. S

    JamiiForums Tanzania BBC News Africa: Tundu Lissu: A Fight Too Far?

    mim kama mm namwamini sana katibu wa itikadi kenan kihongos anaweza pangua hoja za hao watu mnao waita mabeberu
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nawaunga mkono wazanzibar kuwafurusha watanganyika kutoka Zanzibar

    Katiba ya Zanzibar imesema ni nchi huru na katiba ya Tanzania inasema Tanzania ni moja,Kwa iyo wakiwa kwao ni kwao na wakija Tanzania ni kwao ila ww ukienda Zanzibar sio kwenu,so Wana haki ya kukuzibua ukileta ukaidi ukiwa kwao ,na wakija huku mna haki sawa ,Kwa iyo Chao ni Chao na chako ni Chao pia
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Zari The Boss Lady, mzazi mwenza na Diamond Platnum, abadili dini na kuwa Mkristo

    Kakimbia dini ya mny'aaazi Mungu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Je, ukiibiwa au kupoteza simu yako, mamlaka za usalama zinaweza kukusaidia kuipata kwa wakati muafaka au ni kuhesabu hasara tu?

    Hongera walau ulipata chochote kitu,mm napataga watu ovyo sana naishia kupigwa ela na mwshon akiipata anawapa ndugu zake kama zawad na ela umepigwa
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kuishangilia kwa ghafla Serengeti boys, huwenda kukawapo hofu na kupoteza mchezo

    Maombi Yako yamejibiwa
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kama kweli mnajiamini mguseni Mtanganyika Dr. Emanuel Nchimbi

    Mungu atasimama penye haki
  14. S

    JamiiForums Tanzania Sababu za Jenerali Ulimwengu kuzinguana na Mkapa hadi kunyang'anywa uraia

    Hilo swali hawez uliza ,hapo ni ww ujiongeze kuliuliza akilin mwako na ulijibu mwenyew
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kukaa kimya kwa Mbowe hakumsaidii chochote, zaidi ya kumtambulisha ni mtu wa kununa

    Table manner haziruhusu mtu kuongea akiwa na chakula mdomon...
Back
Top Bottom