Huyu Rais iyo nafas aliipataje ? Mbona ni mjinga sana? Akilin mwake amekaa mavi kama tumbo lake !! Kulikua na haja gan kusema kua alikutwa mtupu? Alikutwa amejisaidia? Kulikua na haja gan kusema alkua akiishi na mtu?
Rubbish taka taka ,ni nani aliye kuambia watu maarufu hawatakiwi kufa? Naona ukishiba ukianza kujamba na kuadhiriwa na harufu ya ushuzi wako mwenyew akili inapungua sana !! unawezaje kuingilia maamuzi ya Mungu akivuna watu wake? Dogo sasa awali nilijua ww ni chawa ili nahis sio chawa ila una...
Na ili pia ni la kuuliza ? Huoni Wana Rais wao,serikal Yao,bajet Yao,katiba Yao, na vitambulisho vyao? Ile ni nchi nyingine ukiangalia katiba ya zanzibar r ya 1984
Akituchukua si wote tunalia raia wa marekani? Ajee tu maana hao wanao nyonya ndo watakosa fursa za kupiga ela ila sisi tukiwa raia wa marekani ni sawa maana tutapata ajira hata kwenye mashamba Yao hao wakubwa wakija kuwekeza kweny kilimo au migodi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.