Sasa ww unaona Kuna hoja gan mbal na ujinga mtupu ,,Nan asiye jua vyuo vikuu ni tanuru la fikra huru ,Tena somo analofundisha huyu mwalima anayeitwa gaidi??
Huyu baba ni vzur akapimwa akili zake mapema ,huyu mgonjwa wa akili hivi Kuna ktu asichojidai anakijua ,yaan anashoboka mno kias kwamba anaingilia mpaka kazi za wengne azizo jua, yaan kila ktu yumo ,nahis ana trauma ya muda mrefu sana maana kila kitu anataman awe yy ndo headlines ,akiona tundu...
Katiba ya Zanzibar imesema ni nchi huru na katiba ya Tanzania inasema Tanzania ni moja,Kwa iyo wakiwa kwao ni kwao na wakija Tanzania ni kwao ila ww ukienda Zanzibar sio kwenu,so Wana haki ya kukuzibua ukileta ukaidi ukiwa kwao ,na wakija huku mna haki sawa ,Kwa iyo Chao ni Chao na chako ni Chao pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.