Recent content by Simba mundu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Leo nimemkomesha huyu mpangaji mwenzangu.

    Ni mchawi kwel maana aliyefanya hivyo ni mchawi na mambo ya kike
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kazi aliyoifanya katambi ilipaswa kufanywa na MAMA GWAJIMA,BASATA

    Mnaona wivu Katambi kuwasamehe wenye dhambi,wakosaji na wavunja Sheria za nchi?? Katambi amewasamehe na wakosaji wamesema hawatarudi kwenye dhambi Tena!! Mnataka afanje nn Tena? Katambi ana kosa gan kutumia 4Rs kuwapatanisha watu?
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania watu binafsi wasirusiwe kujenga nyumba bali makampuni ya real estate

    Yaan hii nchi inateketea mmeshaanzisha makampuni ya ujenz huko mnataka kuwanyonya watu Kwa ujinga wenu !!
  4. S

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Wezi,wauaji,mafsad ndo wapo salama ,na wanatakiwa waishi ni wale Wanao waabudu na kuwasifia hata wakijamba wanaimbiwa wimbo wa kuwatukuza kuwa wanajamba marashi na pafyumu nzur sana,hao ndio wapo salama ,
  5. S

    JamiiForums Tanzania Lissu: Msije gerezani usiku kunitembelea njooni mahakamani

    Kwa nn umepanic au ulkua ni ww??
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ni Halali kabisa Kuyumba Na Kupoteza Muelekeo kwa CHADEMA. Mnyika Elimu Kidato cha 6 Huku Heche Akiwa Na Elimu ya Hapa na pale. Wafuasi nao sifuri

    Weee mjinga kama hauna mdada za kueleweka achana nazo ,au imetumwa ulete hizi madam na machadema?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kweli Tundu Lissu ana nguvu ya ajabu. Watu wapo uraiani kama huyu anaitwa Habibu mchange bado wanapambana nae akiwa Magereza

    Hii nyongwa unayosema imenikumbusha kisa kimoja kwenye Biblia jamaa anaitwa Hamani alivyo kua amejiandaa kumnyonga jamaa mwingine anaitwa Mordekai,akawa ameandaa nguzo ndefu sana Kwa ajili ya execution ya kunyanga Mordekai alaf sku yenyew ile Ile nguzo aliyomwandalia mwenzie akanyongwa yy!!!
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kawaida: Kamati Kuu ilimuita Nchimbi lakini kwa sababu ya kiburi na kudharau chama aligoma kuja, tukamfukuza

    Dogo ana utovu wa nidhamu sana,hata kama ametikea unguja lakn kua na dharau Kwa Nchimbi,makamu wa Rais,aliyewah kua katibu mkuu wa ccm,balozi wa TANZANIA nchini brazil, Wazir wa wizar tofaut tofaut,mwenyekit wa uvccm ,dogo apunguze zarau
  9. S

    JamiiForums Tanzania 'Deogratias John Ndejembi' tukiacha asili yake, ana sifa gani za maana kwa cheo kikubwa kama hicho?

    Na akiwa Rais ndo ivyo Tena kwenye katiba ya ccm mpaka miaka 10 iishe
  10. S

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Tanzania ovyo. Wanashindwa kumtafuta Nchimbi na kufanya nae mahojiano au Kwenda kwake kujua kama Yupo?

    Huwa nataman Sjui waanze kufunga vyuo vyetu vya uandish wa habar,, yaan kuanzia magazet mpka television huwez vutiwa na habar kila chombo Cha habar ni 27 ya kijan
  11. S

    JamiiForums Tanzania 2080 idadi ya wanawake itakuwa kubwa kuliko wanaume

    Kumbe Bado nkajua ndo tunaish huo ulimwengi
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kwani ni lazima Makamu mpya wa Rais awe mkatoliki?

    Hapana sa hiv ni Mm na nasali EAGT
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mizaha ya kukera ya Mh. Tundu Lissu, inafanya watesi Wake wamchukie Zaidi!

    Nia yenu aonyeshe sympathy na aingia Kwa magoti au? Akiachia tabasamu huyu ndo katumbo yenu yanavurugika!!
  14. S

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Huyu mzee atakuja kusomea mtu albadir Kwa zile akili zake maana akili zake mnazijua zilivyo chache na kuganda
  15. S

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Yap simae anatosha kabsaa ni mzalendo
Back
Top Bottom