Recent content by Simba mundu

  1. S

    Naomba Msaada wa kuelewesha kuhusu Tangazo la kazi lililotolewa na JWTZ 14.04.2026

    Ukuda kuukuta jeshini ni 85% Kwa iyo jiandae na lolote alaf pia ww ni mjeda
  2. S

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Sa hiv upo hapo umepewa buku 7 zako ushaanza Ukipewa buku 7 Yako hapo Lumumba unaanza kuonyesha akili zako zilivyo taka taka ??
  3. S

    Magereza zenye mateso zaidi Tanzania, usiombe ukanyage huko

    Hakika maombi Yako utajibiwa wala usjali mkuu
  4. S

    Hivi ni kweli mwabukusi hajui mchakato wa report ya CAG kwa Mujibu wa katiba? Hii ni aibu

    Mkilipwa Alfu 7 Huwa mnaanza kujamba kadri mnavyoweza
  5. S

    TFF yatoa Notisi ya Siku 60 kwa Makampuni ya Betting kujieleza kwa kuweka Mechi ya Dabi (Yanga na Simba) kwenye mfumo bila idhini

    Ukiona hivyo jua ponjolo ameingilia kati ndo anataka apewe yeye iyo betting
  6. S

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Huyu Rais iyo nafas aliipataje ? Mbona ni mjinga sana? Akilin mwake amekaa mavi kama tumbo lake !! Kulikua na haja gan kusema kua alikutwa mtupu? Alikutwa amejisaidia? Kulikua na haja gan kusema alkua akiishi na mtu?
  7. S

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Rubbish taka taka ,ni nani aliye kuambia watu maarufu hawatakiwi kufa? Naona ukishiba ukianza kujamba na kuadhiriwa na harufu ya ushuzi wako mwenyew akili inapungua sana !! unawezaje kuingilia maamuzi ya Mungu akivuna watu wake? Dogo sasa awali nilijua ww ni chawa ili nahis sio chawa ila una...
  8. S

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Mmmh habar gan za upinzan zinatangazwa TBC au unachanganya habar ? TBC si habar za katibu mkuu wa ccm na mwenyekiti na uzinduz wa daraja alaf imeisha?
  9. S

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Ondoka tuu,TBC na Tido muhando baada ya hapo imekua channel ya ovyo sana na uchawa Haina taarifa za maana kabsaa
  10. S

    Zanzibar kuanza kuagiza mchanga kutoka Tanzania Bara

    Na ili pia ni la kuuliza ? Huoni Wana Rais wao,serikal Yao,bajet Yao,katiba Yao, na vitambulisho vyao? Ile ni nchi nyingine ukiangalia katiba ya zanzibar r ya 1984
  11. S

    Kama Trump, kwa ubabe tu, anadai aichukue Greenland ya Denmark, anaweza kudai aichukue Zanzibar ya Tanzania. Hilo lazima litazamwe

    Akituchukua si wote tunalia raia wa marekani? Ajee tu maana hao wanao nyonya ndo watakosa fursa za kupiga ela ila sisi tukiwa raia wa marekani ni sawa maana tutapata ajira hata kwenye mashamba Yao hao wakubwa wakija kuwekeza kweny kilimo au migodi
  12. S

    Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

    Ila wazanzibar hapo utakuta ni kidaraja kidgo Cha kupanda huku unaendesha baiskeli Tena umebeba mtu ila sasa kelele za uvivu!!!!🤔🤔
Back
Top Bottom