Sikushauli utoe nitakua nimehusika kuuwa hichokiumbe, mtoto hawezikufa kama umemwachisha halaka kunhonha anapata maziwa vyakula juisi kwawakati na asilale na mamayake usiku mtoto kama anashibavizulihanashida.kuhusu mamayake anza nae saizi kuna matunda yapo spesho kwajili ya kuongeza damu juisi...
Mke kajifungua kwa njiagani? Kama kajifungua kawaida haina shida, mwachishe mtoto kunhonha halakasana,mnunulie maziwa ya watoto lishe juis ya matunda chasing mama asiwe mvivu kumpikia wanakuwa vizuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.