Nimekaa Oman kwa zaidi ya miaka 11 bila kurudi Tanzania, nikifanya kazi za ndani. Baadaye nikapata ajira nzuri zaidi kwa bahati nzuri kipato changu kikafika hadi takribani milioni 5 za Kitanzania kwa mwezi.
Kutokana na juhudi hizo, nikaamua kuanza kujenga maisha ya baadaye.
Nikamtumia mama...
Kuna wanangu wa Siloamu
Lile kanisa hawaruhusu hata kutoa damu na wanakupa jina jipya
Kuna mwanangu alikuwa anaitwa Alex alipojiunga akabadilishwa jina akaanza kuitwa KIBALI
Ile dini ikikuingia unakuwa huambiliki
Kuna jamaa alikuwa na mahusiano yenye umri wa takribani miaka kumi mpaka wakulungwa wakaamini hawa ni kifo tu kitawatenganisha, Ila huwezi amini message moja tu ya simu iliua haya mahusiano tukabaki midomo wazi.
Tulichojifunza ni kuwa umri wa mahusiano yenu hauguarantee ndoa.
Chips za mtaani zinabaki kuwa chips bora na tamu kuliko chips za sehemu yeyote ile.
Though upishi wa chips ni mmoja lakini bado utashangaa radha zinatofautiana au waungwana huweka vidawa.
Hasa chips inayopikwa sehemu chafu chafu huwa tamu sanaaaa kumzidi hata huyo KFC
Unajua sifa ya mwanamke mwenye asili ya unyevu nyevu mikononi?
•Ana hisia kali za mapenzi
•kizazi chake kipo karibu ni rahisi kupata mimba
•huwezi kumdhuru(hata ukiwa na nia ya kutaka kumfanya kitu kibaya mwisho mtaishia maongezi tu)
Serikali ya china itakua inaendesha mambo mengi sana Africa miaka ijayo.
Kuanzia miundombinu, biashara hadi sera.
Hadi sasa wao ndio wanaendesha biashara karibu zote k.koo kupitia viwanda vyao. Wakizima viwanda tumepoteana.
Wanaamua tuvae nini tuuze nini.
Mwanaume Anapomfuata Mwanamke Anahitaji Vitu Viwili, Kimojawapo ni Ukikekike wa Mwanamke (Feminity Traits)
Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu, Hereni, Kudeka na Kuwa Soft
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.