Mchakato wa ajira kwa walimu naskia umeshaanza,kwaiyo kufikia January mwishoni tutakuwa na jibu kamili na ni kwa masomo yote ya sayansi na sanaa .chanzo,jamaa mmoja aliyekaribu na wanaofanya taratibu hizi wizarani
Chadema imeangushwa na viongozi wetu wenyewe,sioni haya kuwataja,mbowe,lissu,MSIGWA,lema,mdee,myika pamoja na jembe slaa ila baadae wakatugeuka kwa kutueleza tumsamehe lowasa.kizuri slaa alisimamia ukweli.nitakupenda daima Dr slaa
Pesa kitu kingine,kubenea amesifika kwa kutokuwa mwoga katika kuandika habari za ufisadi Wa lowasa na wengineo Leo baada ya chadema kumpa ridhaa ya ubunge Leo ajenda ya ufisadi kwenye mawio na mwanahalisi online haipo tena.pesa hizi jamani....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.