Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,135
Huko anakozikusanya ikifika kuzirudisha ndio shughuli bin tafrani, tutegemee watoto,wajukuu na vitukuu vya richmond.
Mkuu atoto unaamini vipi propaganda nyepesi kama hizo bila evidence yeyote???...UNLESS OTHERWISE WEWE NI GAMBA...maana huyo mleta thread alitakiwa kutuwekea ushahidi ata wa VOICE CLIP wa hao wafanyakazi wakiwemo waandishi wa campaigns za lowassa wakilalamikia kutolipwa ujira wao au kupewa ujira kidogo lakini sio kama anavyoleta tu habari za kusadikika hivihivi bila evidence alafu aaminike tena kwa ukizingatia kipindi hiki CCM ikining'inia na kamba ya manila mtini hivyo wanahaha kuikata hiyo kamba bila mafanikio hadi sasa!