Hujamwelewa kabisa, jamaa hana bifu na ujenzi, bali anataka miradi ya kimkakati ndo ipewe nafasi, na sio miradi inayofanywa kisiasa, mfano SGR ipo kimkakati, ndege ni kimkakati, dar kibaha road ni kimkakati,je uwanja wa chato upo kimkakati kwa vp? Kiuchumi sio sahihi kujenga uwanja Chato, bali...