stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,385
- 3,494
Koo
We nae punguza ujinga,kujimanage kiaje? Nimekwambia toka mwanzo fani zote unazojifunza shule ni za kusaidia jamii haziwezi kwa namna yoyote kukufanya kuwa tajiri,how you become tajiri nimekuekeza hapo juu hali kadharika asiyesomea fani hizo hawezi kuwa mtumishi wa umma na hawezi kuwa na tija maana vipawa vyake haviwezi kusaidia umma bali yeye binafsi..
Mfano ukisema mo awe waziri wa fedha au mtunga sera za biashara za umma ni wazi atatunga sera za mlengo binafsi kuakisi biashara zake hapo lazima wengi muumie ndio maana wanakuja watu waliosomea kuweka mizania sawa..sasa kama hutaki kuelewa baki hivyo hivyo
Kwan Mo alivokua mbunge wa singida aliendesha singida kama ni biashara yake? ukiwa mfanyabishara mkubwa kunakuaga na discipline flan unakua nayo, its not from grades: mtu ambae anaweza kufanya maamuzi mazuri ni mtu mwenye discipline katika kila anachofanya: Mo can make a good leader, because he himself contributes alot to the GDP ya nchi pakubwa sana: 28,000 employees isnt a joke, ni tafaut sana na wewe ambae hio discipline hauna, angalia maraisi ambao ni matajiri, wako smart sana kwenye maamuzi yao, trump himself is a billioniare, how about putin: so you get you answer:
By the way let me ask you this, have u ever managed a bussiness with employees?