Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Koo

We nae punguza ujinga,kujimanage kiaje? Nimekwambia toka mwanzo fani zote unazojifunza shule ni za kusaidia jamii haziwezi kwa namna yoyote kukufanya kuwa tajiri,how you become tajiri nimekuekeza hapo juu hali kadharika asiyesomea fani hizo hawezi kuwa mtumishi wa umma na hawezi kuwa na tija maana vipawa vyake haviwezi kusaidia umma bali yeye binafsi..
Mfano ukisema mo awe waziri wa fedha au mtunga sera za biashara za umma ni wazi atatunga sera za mlengo binafsi kuakisi biashara zake hapo lazima wengi muumie ndio maana wanakuja watu waliosomea kuweka mizania sawa..sasa kama hutaki kuelewa baki hivyo hivyo

Kwan Mo alivokua mbunge wa singida aliendesha singida kama ni biashara yake? ukiwa mfanyabishara mkubwa kunakuaga na discipline flan unakua nayo, its not from grades: mtu ambae anaweza kufanya maamuzi mazuri ni mtu mwenye discipline katika kila anachofanya: Mo can make a good leader, because he himself contributes alot to the GDP ya nchi pakubwa sana: 28,000 employees isnt a joke, ni tafaut sana na wewe ambae hio discipline hauna, angalia maraisi ambao ni matajiri, wako smart sana kwenye maamuzi yao, trump himself is a billioniare, how about putin: so you get you answer:

By the way let me ask you this, have u ever managed a bussiness with employees?
 
Kwan Mo alivokua mbunge wa singida aliendesha singida kama ni biashara yake? ukiwa mfanyabishara mkubwa kunakuaga na discipline flan unakua nayo, its not from grades: mtu ambae anaweza kufanya maamuzi mazuri ni mtu mwenye discipline katika kila anachofanya: Mo can make a good leader, because he himself contributes alot to the GDP ya nchi pakubwa sana: 28,000 employees isnt a joke, ni tafaut sana na wewe ambae hio discipline hauna, angalia maraisi ambao ni matajiri, wako smart sana kwenye maamuzi yao, trump himself is a billioniare, how about putin: so you get you answer:

By the way let me ask you this, have u ever managed a bussiness with employees?
Acha ujinga ukiwa mbunge hapo huna jukumu lolote la kiserikali kazi yako ni kuwasemea wapigakura sasa kwani staff wa serikali huwa wanafanya majukumu ya kisiasa?
 
Hujamwelewa kabisa, jamaa hana bifu na ujenzi, bali anataka miradi ya kimkakati ndo ipewe nafasi, na sio miradi inayofanywa kisiasa, mfano SGR ipo kimkakati, ndege ni kimkakati, dar kibaha road ni kimkakati,je uwanja wa chato upo kimkakati kwa vp? Kiuchumi sio sahihi kujenga uwanja Chato, bali kisiasa ni sawa, refer machinga complex project.
 
Please stay silent, unashindana na watu wenye akili ndogo sana na wote hakuna mwenye economic analysis, walokuelewa hawacoment tena wanapita tu. Good night
 
Wewe mwehu lazima ujue kwa technologia iliyepo inaruhusu, wabongo kibao wanakwemda ukiangalia mpira England, France hadi USA so tatizo lako ni nini? wakati chato ni mji wa kati, kaskazini kuna bukoba magharibi kuna mwanza na geita wakati kusini kuna bihalamuro na kahama na kuna mji midogo mingi kama katoro na buselesele kwangu mimi ni jaguo sahihi
 
Hii ndo Chato sasa
12.jpeg
pic%2Bcrdb2.jpeg
FC4A1362.JPG
FC4A1384.JPG
FC4A1488-1.JPG
FC4A1488.JPG
chato-js-hotel-1.jpeg
62087449_488693691873235_4081557328908779520_n.jpeg
8-1024x683.jpeg
 
Kuna Watu ni ' Mapopoma ' hapa duniani hadi najiuliza ni kwanini hata Mwenyezi Mungu alipoteza muda wake muhimu Kuwaumbeni. Uwanja wa Mpira haujengwi kwa Kigezo cha eneo husika kuwa mbali au kwamba halina Watu wengi au halina Michezo. Ujenzi wa Uwanja unaweza ukawa sasa ndiyo chachu kubwa ya muamko wa Kimichezo katika eneo husika lakini pia Ujenzi wa huo huo Uwanja unaweza pia kuwa ni Chanzo cha Mapato kwa Halmashauri na Serikali husika ya Mkoa. Kama haitoshi Uwanja huo huo mkubwa wa hapo unaweza kuwa ni Chanzo cha Kiuchumi hasa kwa Wakazi kwani wanaweza wakawa wanauza bidhaa zao pale Michuano ikiwa inachezwa hapo. Baada ya Ujenzi wa huo Uwanja wenye Mamlaka nao wanaweza wakawa wanautumia kwa Kuukodisha kwa Timu Kubwa Kubwa nchini au hata wakawa Wanaandaa Mashindano ambayo yatazikutanisha hizi Klabu Kubwa hivyo Mapato Kuongezeka lakini hata na Hamasa ya Kimpira na Kimichezo eneo husika nayo ikaongezeka. Na Viwanja havijengwi kwa matumizi tu ya sasa basi Viwanja vinajengwa hata kwa matumizi ya baadae na kwa Vizazi vijavyo. Na Kinachofanya Uwanja Kujaa siyo Watu ( Wakazi ) husika wa hapo bali ni ' Hamasa ' na ' Mwamko ' unaojengwa na Wahusika wa Kimichezo kutokana na Mipango yao waliyonayo katika Kuendeleza Mchezo wa Mpira wa Miguu hapo. Na hakuna mahala popote pale nchini Tanzania pameandikwa kwamba ndiyo pawe na Uwanja wa Mpira na pengine pasiwepo. Umeleta Mada hii Kiuanaharakati / Kisiasa zaidi kwakuwa tu una Chuki zako na Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwa kuwa nae anatokea hilo eneo la Chato na huenda pia na Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) na hii Serikali ila nina uhakika Uwanja huu huu ungesikia Unajengwa eneo jingine wala usingekuja na haya ' Majungu ' yako. Kwani sehemu atokayo Rais ikiwa na Maendeleo ni Kosa au Dhambi? Mnafiki na Mshamba mkubwa Wewe!
Serikali ina vipaumbele vingi sana na vingine viko kwenye ilani ya ccm zaidi ya miaka 50 iliyopita na vyote hivo vilishindwa kutekelezwa au kukamilika sababu ya pesa sasa sidhani kama kiwanja cha chato kipo kwenye ilani ya ccm.
 
Cheap political popularity inatugharimu sana tena sana.
Mbona habari za uwanja mkubwa unaolalamikia siuoni mkuu, au uwanja wenyewe ni 'virtual reality'?

Kwa upande mwingine ngoja nikusaidie kwa kupoza maumivu yako: pesa yote ni yake, mipango yote ya matumizi anaamua yeye; miradi anaibuni mwenyewe. Ukiwa na uwezo wa namna ile, na kiuhakika hakuna wa kuhoji chochote kuhusu maamzi yako; utashindwa kweli kufanya hayo unayoyalalamikia?

Tulia ndugu, 'you ain't seen nothing yet'! Hii ndio Tanzania mpya.
 
Hesabu za wanasiasa huwa ni za kujua wao wenyewe tu. Hivi kweli Chato kunahitajika uwanja mkubwa wa miguu kama wa Taifa (kwa Mkapa) wa kazi gani?

Kama huu mmoja Dar na uwingi wote wa watu tunashindwa kuujaza je Chato? Huu utakuwa ni upotevu mwingine wa fedha kama za ESCROW.

Sifa zikizidi haya ndo madhara yake. Nilitegemea uwanja kama huu ujengwe kwenye majiji makubwa ya Mwanza, Mbeya, Arusha au Morogoro. Kiukweli kwa hili hata kama ndio charity begins at home, this is too much.

Mimi niko pamoja na mzee Meko na nakubali mambo mengi anayoyafanya ila kwa hili HAPANA. Hapa ndipo Kagame anapotupiga bao. Hesabu zake ni very strategic. Hakurupukagi. Mwezi uliopita tumeona Rwanda wakiufungua uwanja bora na wa kisasa kabisa maarufu kama Kigali Arena.

Sisi bado maamuzi yetu ni ya sifa sifa na mihemko. Kagame anaijenga Kigali inaonekana. Sisi hatueleweke mara, tujenge Arusha tunaacha tunahamia kuijenga Dodoma. Wakati huo huo Dar nayo inatakiwa ijengwe sasa tunahamia Chato.

Sisemi mikoa mingine isijengwe lakini kuna miradi ya kimkakati ambayo inahitaji kufikiri na kutafakari kwa kina. Yawezekana kwa sasa kipaumbele cha watu wa Chato ni hospitali ya kisasa au vyuo vya ufundi na si uwanja mkubwa kiasi hicho. Hakunaga mipango ya namna hiyo!!

Nadhani Chato wanahitaji uwanja mdogo tu kama wa Azam Complex unawatosha.

Wahusika tafakarini. Kwa mipango yetu mibovu ndio maana hadi leo hii hatuna ukumbi wowote wa maana kwa ajili ya kuhost mikutano mikubwa, hatuna kumbi kubwa za kisasa za burudani. Na hakuna anayeona hilo.

Cheap political popularity inatugharimu sana tena sana.

View attachment 1244923
Kwenye majiji makubwa hapo ondoa kamkoa ka Mbeya ,Mbeya siyo jiji mkuu ni kasemu kahovyo sana
 
Hesabu za wanasiasa huwa ni za kujua wao wenyewe tu. Hivi kweli Chato kunahitajika uwanja mkubwa wa miguu kama wa Taifa (kwa Mkapa) wa kazi gani?

Kama huu mmoja Dar na uwingi wote wa watu tunashindwa kuujaza je Chato? Huu utakuwa ni upotevu mwingine wa fedha kama za ESCROW.

Sifa zikizidi haya ndo madhara yake. Nilitegemea uwanja kama huu ujengwe kwenye majiji makubwa ya Mwanza, Mbeya, Arusha au Morogoro. Kiukweli kwa hili hata kama ndio charity begins at home, this is too much.

Mimi niko pamoja na mzee Meko na nakubali mambo mengi anayoyafanya ila kwa hili HAPANA. Hapa ndipo Kagame anapotupiga bao. Hesabu zake ni very strategic. Hakurupukagi. Mwezi uliopita tumeona Rwanda wakiufungua uwanja bora na wa kisasa kabisa maarufu kama Kigali Arena.

Sisi bado maamuzi yetu ni ya sifa sifa na mihemko. Kagame anaijenga Kigali inaonekana. Sisi hatueleweke mara, tujenge Arusha tunaacha tunahamia kuijenga Dodoma. Wakati huo huo Dar nayo inatakiwa ijengwe sasa tunahamia Chato.

Sisemi mikoa mingine isijengwe lakini kuna miradi ya kimkakati ambayo inahitaji kufikiri na kutafakari kwa kina. Yawezekana kwa sasa kipaumbele cha watu wa Chato ni hospitali ya kisasa au vyuo vya ufundi na si uwanja mkubwa kiasi hicho. Hakunaga mipango ya namna hiyo!!

Nadhani Chato wanahitaji uwanja mdogo tu kama wa Azam Complex unawatosha.

Wahusika tafakarini. Kwa mipango yetu mibovu ndio maana hadi leo hii hatuna ukumbi wowote wa maana kwa ajili ya kuhost mikutano mikubwa, hatuna kumbi kubwa za kisasa za burudani. Na hakuna anayeona hilo.

Cheap political popularity inatugharimu sana tena sana.

View attachment 1244923
Hata hiyo Dar,Mwanza Arusha nk ilikua kama Chato,watu wanaongezeka,fikiria 50 yrs baadae.
 
Back
Top Bottom