Mleta mada jitahidi kuwa na uhakika na thread unayotuma hata kwa kusikiliza vyombo vya Habari vya kuaminika kwani inaelekea umekurupuka tu ukaandika na kurusha hewani Bila kufanya utafiti wa hiyo Habari. Big up unajifunza kutunga sentensi zenye upatanisho wa kisarufi.
jamani tujitahidi kuacha kupakaziana matope si vizur. huwez jua nani atakuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. hebu fikiria akiwa lowasa hiyo aibu utaipeleka wapi?
Ukiwa unaropoka jitahidi kuwa na uhakika kama fahari yako nikuonekana kila siku humu jitahidi kutafutia vithibitisho unayaongelea usikurupuke tu. Huwezi kusema walimu Bila kuwa na ushahidi. Mtu kuchagua mtu na Chama akipendacho ni pendezo lake ni c kazi yake au utaalamu wake.
Acha taarifa za kichochezi hivi mtu anaweza kuwahonga watu wote hao cha msingi hapo ni Chama chenyewe kiangalie jinsia ya kumpata kiongozi kipenzi cha wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.