msali
Member
- Jul 28, 2015
- 24
- 23
Baada ya lowasa kujiunga na CHADEMA na ukawa wafuasi na wanachama wa chama dola CCM a.k.a MAREHEMU WATALAJIWA wamekuwa wakitapatapa kwa kusema lowasa ni mloo wa madaraka na amekuja kuiua CHADEMA na kujiua kisiasa .
Hayo maneno si ya kweli na ni ya woga na yanawatia aibu,zifahamu sababu zinazo wafanya CHADEMA, UKAWA na watanzania wampokee na kumkubali Edward Lowassa.
1. Anaushawishi mkubwa ndani ya CCM na Tanzania kwa ujmla.
2. Anajua uimara na uzaifu wa CCM.
3. Anajua mbinu zote za wizi wanazotumia CCM kushinda chaguzi mbalimbali.
4. Ni silaa pekee inayoweza kuiangamiza CCM.
5. Anaujua mchezo mchafu wa siasa za Tanzania.
MWISHO ZINGATIA:
Jambazi aliye jisalimisha kwa makamanda wa polisi na kuwa raia mwema basi jeshi lenye akili umtumia huyo kuliangamiza kundi kubwa la majambazi sugu na kulitokomeza.
HAKUNA ALIYE MSAFI NDANI YA CHAMA CHA CCM NA SERIKALI YAKE.
KAULI MBIU ;- mulize jirani yako UNACHO nini KICHINJIO gani CHAKUPIGIA KURA.
Hayo maneno si ya kweli na ni ya woga na yanawatia aibu,zifahamu sababu zinazo wafanya CHADEMA, UKAWA na watanzania wampokee na kumkubali Edward Lowassa.
1. Anaushawishi mkubwa ndani ya CCM na Tanzania kwa ujmla.
2. Anajua uimara na uzaifu wa CCM.
3. Anajua mbinu zote za wizi wanazotumia CCM kushinda chaguzi mbalimbali.
4. Ni silaa pekee inayoweza kuiangamiza CCM.
5. Anaujua mchezo mchafu wa siasa za Tanzania.
MWISHO ZINGATIA:
Jambazi aliye jisalimisha kwa makamanda wa polisi na kuwa raia mwema basi jeshi lenye akili umtumia huyo kuliangamiza kundi kubwa la majambazi sugu na kulitokomeza.
HAKUNA ALIYE MSAFI NDANI YA CHAMA CHA CCM NA SERIKALI YAKE.
KAULI MBIU ;- mulize jirani yako UNACHO nini KICHINJIO gani CHAKUPIGIA KURA.