Naona mnaocomment mnajifanya great thnkers but truth is wote mamburulaz le akili ndogos wa kufuata mkumbo. Mnajudge entire career ya mtu kwa statement tano.
Hivi hamjui chama ndiyo kina sera na sio mgombea. So hao wengine wanaoongea mnavyodhani vya maana ndiyo hawana kitu kwa sababu mwisho wa siku hawatatekeleza chochote.
Pili wazungu wanasema all publicity is good publicity, huyu jamaa ni mwanasiasi and he made it to foreign affairs minister anajua ni nini anakifanya. Hata kama mtasema kabebwa basi alijua jinsi ya kubebeka manake hiyo pia inahitaji le akili kubwaz na sio kama ambazo naziona hapa. By making those remarks like those which if analyzed well membe is gaining, he is gaining by coming relevant, people talk about him, watakaotumwa kuandika viBlog post vya ajabu kama hivi waandike ila at the end of the day membe atawakaa akilini.
The finaly akishawakaa akilini mtataka kusikia ataongea nini next, na ninavyoona kashatukaa akilini manake kila siku membe this membe that. Then ndio aanze kujenga hoja za msingi ambazo kama angeziongea mwanzo msinge pay attention kwa sababu mlikua hamjui membe ni nani. Hapo ndo mtaanza kusema kumbe jamaa ana akili.