Kumsafisha Lowassa kunahitaji ujasiri wa mwendawazimu!!!!!!!
narudia tena kuelezea jambo hili kwa mara ya mwisho.
Kama ilivo alama ya msalaba kwa wakristo. Kama ilivo alama ya mwezi kwa waislamu. Ndivo ilivo alama ya enl kwa ufisadi.
Na kwakuwa evlotionary circles za ufisadi zimefikia mwisho tathmini mwenyewe future ya enl evolutionary.
Hata kama ccm ingemtaka na kumfuga vipi. Sio swala la ccm ni swala la kitabia nchi zaidi. Enl has been exclusively rejected out of systems evolutionary.
Nitangaze rasmi kufunga mjadala wa enl na hatma .. Ya uongozi wa tz. Ccm ilimpenda sana lakini "evolution processes" zilimpenda zaidi.
Narudia tena kuelezea jambo hili kwa mara ya mwisho.
Kama ilivo alama ya msalaba kwa Wakristo. Kama ilivo alama ya Mwezi kwa Waislamu. Ndivo ilivo alama ya ENL kwa Ufisadi.
Na kwakuwa Evlotionary Circles za Ufisadi zimefikia mwisho Tathmini mwenyewe future ya ENL evolutionary.
Hata kama CCM ingemtaka na kumfuga vipi. Sio swala la CCM ni swala la Kitabia Nchi Zaidi. ENL has been exclusively rejected out of systems evolutionary.
Nitangaze rasmi kufunga mjadala wa ENL na hatma .. ya Uongozi wa Tz. CCM ilimpenda sana lakini "Evolution Processes" zilimpenda zaidi.
Hivi ni Lowassa pekee ndiye fisadi ndani ya CCM?
NIENDELEE AU?
We ni mwehu!
Kumsafisha Lowassa kunahitaji ujasiri wa mwendawazimu!!!!!!!
Hata mm ndugu yangu, inaniskitisha sana kuona wabongo wenzangu tuna ng'ang'ana na lowasa tu nila hata kujua kuwa ayo yote yanatokana na mfumo mbovu wa serikali iliyopo madarakan. Maana lowasa kwa sasa hayupo kwenye system lakin mbona ufisad ndio unazid kushamir siku hadi siku, tuachane na iman za kijinga lowasa co fisad bali mfumo mzima wa serikali iliyopo madarakan ndio umeoza