Inawezekana unachuki binafsi na hiyo dereva,kuna je mwiliwako ni automatic kwamba unaweza ku u tune unavyotaka?hujaona watu wakidondoka,kujisaidia bila kupenda?je amebanwa eneo hisika angefanyaje?
Kumbuka hata kurani imekiri kurudi kwake na kuhukumu ulimwengu kwa haki yaani Yesu unaemuita mzinzi,basi weka akiba ya maneno.utayatumia huko mbele ya safari,ubarikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.